Mimi binafsi siwezi kuwalaumu ma-single mother kutokana na hali zao. Nawakubali kiasi fulani japokuwa si cha kuwafanya wawe katika ndoa na mimi. Siwezi kuoa mwanamke nisiyekuta bikira yake. Siwezi asilani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu swali swali limesema umeoa?Naishi na mwanamke huu mwaka wa 3. Kwao wananijua, kwetu wanamjua. Maisha raha mustarehe
Sasa wewe unatofauti gani na hao unaowashangaa kuwe hakuoa waliobikra!?Naishi na mwanamke huu mwaka wa 3. Kwao wananijua, kwetu wanamjua. Maisha raha mustarehe
Hlf kweli naona mada imetawaliwa na wanaume tu!Huu uzi siyo rahisi wasichana wa humu kuchangia, maana takwimu zinaonyesha walioolewa wote walikuwa hawana bikra na ambao hawajaolewa nao hawana bikra ama ni single mothers.
Changia bhanaaaaaa kutoolewa na bikra co kilema ati!Kwani ni lazima kuchangia?
Kumbe hujaoa ni sogea tuishi??? Bado unafanya ufuska na zinaaaNaishi na mwanamke huu mwaka wa 3. Kwao wananijua, kwetu wanamjua. Maisha raha mustarehe
So unakubali tumekubali kishingo upande kwamba fresh tu....poa tu...tuchukue hawa hawa coz no any other option (hiyo reason ulosema wewe ni Moja ya saba by ya kusupport point yangu ya life imechange so hatuna option)Sio kuzuga mkuu hakuna asiyetambua na asiyetamani hilo ila historia na nafsi itakuhukumu wakati unataka kuoa maana mwenyewe hukuwa wa mchezomchezo walishakukoma huko sasa hao uliopitanao huko unataka mwenzio ao au wataolewa na nani? Mara nyingi tunafanya kubadilishana wake tu, mi nimeacha mwenzangu anapitanaye mbele mwenzangu ametupa mm nakidaka maisha ya sahiv yapo hivyo unafika unataka kutulia basi ulikofika unaweka kambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mkuu umenchekesha sana, nmecheka kwa sauti kweli [emoji23]Zaman wanaume kupata bikra ilikua rahisi..
Baadae tukaanza omba kupata bikra..wapiii
Baadae tukaanza kuomba tupate ambaye japo hana lkn anajitunza..wapiii
Baadae tukaja omba japo hajitunzi lkn awe hajatoa mimba....wapiiiii
Baadae tukaomba angalau basi awe na mtoto mmoja...wapiiii
Tunakoelekea TUTAANZA KUOMBA TUKUTE MTU HAJAFUNULIWA MALINDA[emoji23]
Maana atakua hana bikra,keshatoa mimba,ana mtoto ....wat next??
Sent using Jamii Forums mobile app
So unakubali kwamba mwanaume yoyote anatamani bikra sema wengi wamesha give up ....anyways unacompare singo mama na asiyesingo mama(asiyebikra) kwamba amaweza kuwa katoa mimba nyingiNiache kuwaza kutafuta pesa nitafute na bikira kwa zama hizi! Ulichokiandika ni sahihi kwa asilimia 99.9999 lakin kutafuta bikira nakudhani itakulindia ndoa kwa zama hiz ni sawa nakumulika tochi wakati jua ni kali zamani miaka 16-25 mwanaume anaoa na mtoto wa kike anaolewa so hata mwanaume mweyewe anakuwa anaanza kufanya tendo la ndo kwa mara ya kwanza na mke wake ,lakini siku hizi miaka 28 ndo kwanza upo mwaka wa kwanza chuo au hata kama umemaliza unasaka ajira almost wengi wanaume wanakuwa tayari kuoa 30y kwenda juu je umetoa bikira ngapi mpaka muda huo hata kama hujakutana nayo umepita na wangapi? Sasa ww sio msafi unataka awe msafi iweje? Kama tutaka kuoa bikira tuanze kubadilika sisi wakati hatuko tayari kuoa tusihitaji pia kinacholiwa na wanandoa hapo tuone hizo bikira watazitoa na ndizi au nadhani hata wanawake wakisema wasitupe kabla ya ndoa hata sisi wanaume tutaoa mapema sana so kusingekuwepi na wasioingilia ndoa za watu, kuhitimisha ni hivi single mother namrespect kuliko wasio na bikira afu hawana watoto koz huyo ni mama kweli kwa wanao kuliko ambaye hujui kama alitupa mtoto suala lakusema ataendeleza mahusiano na baba wa mtoto achana nalo maana akitaka hautaweza kumzuia ni yy tu kujitenga na historia yake kumbuka hata ww unahistoria yako pengine umeshakataa na watoto huko ila unajitapa nataka bikira mazee tuachr kuonea wanawake ni mama zetu ni dada zetu pia ni wake zetu wanatupa heshima yakuitwa baba na kuitwa wajomba kisa tu wamepewa udhaifu tunawashawishi kirahisi basi tusiwafanye shimo la lawama ya kila kinachoendelea kwenye jamii just jua tu zama zimebadilika kama umeshindwa kupata mke mwema tafuta mama bora kwa wanao hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah! Mkuu umenchekesha sana, nmecheka kwa sauti kweli [emoji23]
Zama zimebadilika hase umetafuta pesa umeanza kuziona una 30+ unaanza kutafuta bikira siku hizi 12 msichana hana hiyo kitu ishaondoka tayari means uanze kutunza mtoto wa mtu mpaka afike miaka 18+ uoe hapo we utakuwa 48+ afu umesomesha wajanja wanapaa naye mzee unavuna ulichopanda wakati unatafuta hajuahitaji kuoa ushaondoa watoto wawatu bikira za kutosha au ushachezea watoto wawatu sana na washaolewa na wengine wapo powa na familia zao we unatafuta bikira tu,stress zote za nn? Mi nkishaona she is worth to be my children mother its more thana enough, ufalme kwa sasa ni ufahari tu mi sipeleki mke kaburini thats why tunasema kifo kitakapotutenganisha je means nimemtoa bikira itamaanisha zijazini?Mkuu moja ya kanuni ya mwanaume ni kufanya kazi kwa bidii na kula kwa jasho ili amtunze mke wake ambaye ni zawadi kutoka kwa Mungu. Jukumu la mwanaume ni kuhakikisha anamtunza mwanamke(mke wake). Yani uweze kutafuta pesa ushindwe kupata mwanamke bikra. Hivi kuna ugumu wowote kwa mwanaume mtafutaji?
Wanaume lazima wahangaike, watafute chapa ili wasipate vitu vya aibu, viporo na mitumba. Mwanaume umebarikiwa pesa alafu uoe kitu cha aibu loooh! dunia imefikia kubaya. Mwanaume ni King, Na moja ya sheria za King ni kuoa mwanamke bikra. Huyo ndiye atakuwa Malkia.
Mwanamke bila bikra anapoteza sifa nyingi sana, haimaanishi hawezi kuolewa hasha anaweza lakini si kwa wanaume wenye na tabia za kifalme, kikuhani na kinabii. Watu hao niliowataja hapo abadan hawawezi tumia kitu used.
Wanaume wenye sifa za kifalme na ambao wanatafuta malkia hutafuta mwanamke bikra. Watu wengine huchagua ili mradi mwanamke tuu.
Ndo hivyo mkuu maisha yetu tusilinganishe na wazee wetu yaani tushavua nguo sharti tuoge tunastuka kumekucha,anayewatoa ni sisi we unafikiri atakayewaoa wakiwa hawana ni nani? Mtoto wakike zamani anafundishwa kuolewa tu sasahiv sio lazima aolewe amefundishwa kujitegemea miamia yaani ukijitia nunda nayy atakukazia tu afu anaeza asikuhitaji akihitaji m.begu zako akizaa anatunza mwenyewe utasema nnSo unakubali tumekubali kishingo upande kwamba fresh tu....poa tu...tuchukue hawa hawa coz no any other option (hiyo reason ulosema wewe ni Moja ya saba by ya kusupport point yangu ya life imechange so hatuna option)
Thats my mind tu nkianza kukopare single mom atashinda kuwa mama but in reality wote nisawa tu kuna uwezekano mkubwa mwingine huyo mtoto tu aliyenaye ameshameza zakutosha ila ndo mungu kawa upande wa mtoto kaishi misukosuko yote so hii dunia imekuwa tofauti sana jaman kabila langu enzi niko mdogo ila nshaanza kujitambua mtoto wa kike akibeba mimba ataozeshwa kwa mbabu au ataenda kujifungulia vijiji vingine yaani anaenda kuwekwa mbali na nyumbani lakin sasahiv anazaa nyumbani hadi kizazi kinaisha yupo kwa babake na hakuna shida yaani inakera lakin mimba anawapa nani je wakati inauma dadako kubeba mimba nyumbani we umesahau umetoka kwa dada wa mwenzako, mkuki tupa kwa nguruwe lakin ukija kwako japo inauma kaza tu hamna namnaSo unakubali kwamba mwanaume yoyote anatamani bikra sema wengi wamesha give up ....anyways unacompare singo mama na asiyesingo mama(asiyebikra) kwamba amaweza kuwa katoa mimba nyingi
What if huyo singo mama before kuamua kujifungua(kwa kupenda au kutopenda) nae alishazichomoa mimba nyingi na asiye singo mama(asiyebikra) hajawahi kubeba mimba ?
Hiv swali rahisi kama wanaume hatununui ngono wanawake tunaowaita dadapoa wangekuwepo? So tuanze sisikuacha sio kisa inapatikana ndo lazima tutumie
Sent using Jamii Forums mobile app