Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #161
Mimi binafsi siwezi kuwalaumu ma-single mother kutokana na hali zao. Nawakubali kiasi fulani japokuwa si cha kuwafanya wawe katika ndoa na mimi. Siwezi kuoa mwanamke nisiyekuta bikira yake. Siwezi asilani.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo niwaoe Mkuu?