Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Sio kuzuga mkuu hakuna asiyetambua na asiyetamani hilo ila historia na nafsi itakuhukumu wakati unataka kuoa maana mwenyewe hukuwa wa mchezomchezo walishakukoma huko sasa hao uliopitanao huko unataka mwenzio ao au wataolewa na nani? Mara nyingi tunafanya kubadilishana wake tu, mi nimeacha mwenzangu anapitanaye mbele mwenzangu ametupa mm nakidaka maisha ya sahiv yapo hivyo unafika unataka kutulia basi ulikofika unaweka kambi

Sent using Jamii Forums mobile app
So unakubali tumekubali kishingo upande kwamba fresh tu....poa tu...tuchukue hawa hawa coz no any other option (hiyo reason ulosema wewe ni Moja ya saba by ya kusupport point yangu ya life imechange so hatuna option)
 
Zaman wanaume kupata bikra ilikua rahisi..

Baadae tukaanza omba kupata bikra..wapiii

Baadae tukaanza kuomba tupate ambaye japo hana lkn anajitunza..wapiii

Baadae tukaja omba japo hajitunzi lkn awe hajatoa mimba....wapiiiii

Baadae tukaomba angalau basi awe na mtoto mmoja...wapiiii


Tunakoelekea TUTAANZA KUOMBA TUKUTE MTU HAJAFUNULIWA MALINDA[emoji23]

Maana atakua hana bikra,keshatoa mimba,ana mtoto ....wat next??

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mkuu umenchekesha sana, nmecheka kwa sauti kweli [emoji23]
 
Niache kuwaza kutafuta pesa nitafute na bikira kwa zama hizi! Ulichokiandika ni sahihi kwa asilimia 99.9999 lakin kutafuta bikira nakudhani itakulindia ndoa kwa zama hiz ni sawa nakumulika tochi wakati jua ni kali zamani miaka 16-25 mwanaume anaoa na mtoto wa kike anaolewa so hata mwanaume mweyewe anakuwa anaanza kufanya tendo la ndo kwa mara ya kwanza na mke wake ,lakini siku hizi miaka 28 ndo kwanza upo mwaka wa kwanza chuo au hata kama umemaliza unasaka ajira almost wengi wanaume wanakuwa tayari kuoa 30y kwenda juu je umetoa bikira ngapi mpaka muda huo hata kama hujakutana nayo umepita na wangapi? Sasa ww sio msafi unataka awe msafi iweje? Kama tutaka kuoa bikira tuanze kubadilika sisi wakati hatuko tayari kuoa tusihitaji pia kinacholiwa na wanandoa hapo tuone hizo bikira watazitoa na ndizi au nadhani hata wanawake wakisema wasitupe kabla ya ndoa hata sisi wanaume tutaoa mapema sana so kusingekuwepi na wasioingilia ndoa za watu, kuhitimisha ni hivi single mother namrespect kuliko wasio na bikira afu hawana watoto koz huyo ni mama kweli kwa wanao kuliko ambaye hujui kama alitupa mtoto suala lakusema ataendeleza mahusiano na baba wa mtoto achana nalo maana akitaka hautaweza kumzuia ni yy tu kujitenga na historia yake kumbuka hata ww unahistoria yako pengine umeshakataa na watoto huko ila unajitapa nataka bikira mazee tuachr kuonea wanawake ni mama zetu ni dada zetu pia ni wake zetu wanatupa heshima yakuitwa baba na kuitwa wajomba kisa tu wamepewa udhaifu tunawashawishi kirahisi basi tusiwafanye shimo la lawama ya kila kinachoendelea kwenye jamii just jua tu zama zimebadilika kama umeshindwa kupata mke mwema tafuta mama bora kwa wanao hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
So unakubali kwamba mwanaume yoyote anatamani bikra sema wengi wamesha give up ....anyways unacompare singo mama na asiyesingo mama(asiyebikra) kwamba amaweza kuwa katoa mimba nyingi
What if huyo singo mama before kuamua kujifungua(kwa kupenda au kutopenda) nae alishazichomoa mimba nyingi na asiye singo mama(asiyebikra) hajawahi kubeba mimba ?
 
Haya mambo ni kama bahati me nimebikiri madem 3 lakini wote hamna kitu na wa mwisho kumbikiri yeye nilimuweka wazi na mipango yote ya kumuoa, lakini dem alianza uhuni wa chini chini akawa anachapisha kinyama.
Nilivogundua nikamtema baadae nikapata dem mmoja ambae alikuwa na skendo kibao na alikuwa na maumivu ya kuachwa na jamaa yake kisa hizo skendo zilizozagaa mtaani.
Baada kumtongoza akakataa katu hataki mwanaume me nikajitahidi kumuweka Sawa akakubali, akanieleza kila kitu juu ya maisha yake me nikapima maelezo yake na skendo za pale kitaa nikaona kama uzushi.
Nikamwambia me nakupenda hivyo hivyo yaani mpaka leo mwanamke anaakili ya maisha na upendo kwangu na sijawahi hata siku moja kuhisi Ana cheat na she is the best women ever to me.
Afu pin kweli na ni mwaka wa 3 sija experience chochote kibaya kutoka kwake hadi amekuwa wife.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vibikra vya nini,kutoa damu,sijui unaniumiza mi napenda yaliyokubuhu ka akina Zari,Shilole,Wema.yaani unipe kibikra feki cha zanzibar kimezibuliwa nyuma mbele tu ndiyo bikra au yule mkuu wa wilaya asiye na bikra,Straight ntaenda kwa mkuu wa wilaya.
 
Mkuu moja ya kanuni ya mwanaume ni kufanya kazi kwa bidii na kula kwa jasho ili amtunze mke wake ambaye ni zawadi kutoka kwa Mungu. Jukumu la mwanaume ni kuhakikisha anamtunza mwanamke(mke wake). Yani uweze kutafuta pesa ushindwe kupata mwanamke bikra. Hivi kuna ugumu wowote kwa mwanaume mtafutaji?

Wanaume lazima wahangaike, watafute chapa ili wasipate vitu vya aibu, viporo na mitumba. Mwanaume umebarikiwa pesa alafu uoe kitu cha aibu loooh! dunia imefikia kubaya. Mwanaume ni King, Na moja ya sheria za King ni kuoa mwanamke bikra. Huyo ndiye atakuwa Malkia.

Mwanamke bila bikra anapoteza sifa nyingi sana, haimaanishi hawezi kuolewa hasha anaweza lakini si kwa wanaume wenye na tabia za kifalme, kikuhani na kinabii. Watu hao niliowataja hapo abadan hawawezi tumia kitu used.

Wanaume wenye sifa za kifalme na ambao wanatafuta malkia hutafuta mwanamke bikra. Watu wengine huchagua ili mradi mwanamke tuu.
Zama zimebadilika hase umetafuta pesa umeanza kuziona una 30+ unaanza kutafuta bikira siku hizi 12 msichana hana hiyo kitu ishaondoka tayari means uanze kutunza mtoto wa mtu mpaka afike miaka 18+ uoe hapo we utakuwa 48+ afu umesomesha wajanja wanapaa naye mzee unavuna ulichopanda wakati unatafuta hajuahitaji kuoa ushaondoa watoto wawatu bikira za kutosha au ushachezea watoto wawatu sana na washaolewa na wengine wapo powa na familia zao we unatafuta bikira tu,stress zote za nn? Mi nkishaona she is worth to be my children mother its more thana enough, ufalme kwa sasa ni ufahari tu mi sipeleki mke kaburini thats why tunasema kifo kitakapotutenganisha je means nimemtoa bikira itamaanisha zijazini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unakubali tumekubali kishingo upande kwamba fresh tu....poa tu...tuchukue hawa hawa coz no any other option (hiyo reason ulosema wewe ni Moja ya saba by ya kusupport point yangu ya life imechange so hatuna option)
Ndo hivyo mkuu maisha yetu tusilinganishe na wazee wetu yaani tushavua nguo sharti tuoge tunastuka kumekucha,anayewatoa ni sisi we unafikiri atakayewaoa wakiwa hawana ni nani? Mtoto wakike zamani anafundishwa kuolewa tu sasahiv sio lazima aolewe amefundishwa kujitegemea miamia yaani ukijitia nunda nayy atakukazia tu afu anaeza asikuhitaji akihitaji m.begu zako akizaa anatunza mwenyewe utasema nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unakubali kwamba mwanaume yoyote anatamani bikra sema wengi wamesha give up ....anyways unacompare singo mama na asiyesingo mama(asiyebikra) kwamba amaweza kuwa katoa mimba nyingi
What if huyo singo mama before kuamua kujifungua(kwa kupenda au kutopenda) nae alishazichomoa mimba nyingi na asiye singo mama(asiyebikra) hajawahi kubeba mimba ?
Thats my mind tu nkianza kukopare single mom atashinda kuwa mama but in reality wote nisawa tu kuna uwezekano mkubwa mwingine huyo mtoto tu aliyenaye ameshameza zakutosha ila ndo mungu kawa upande wa mtoto kaishi misukosuko yote so hii dunia imekuwa tofauti sana jaman kabila langu enzi niko mdogo ila nshaanza kujitambua mtoto wa kike akibeba mimba ataozeshwa kwa mbabu au ataenda kujifungulia vijiji vingine yaani anaenda kuwekwa mbali na nyumbani lakin sasahiv anazaa nyumbani hadi kizazi kinaisha yupo kwa babake na hakuna shida yaani inakera lakin mimba anawapa nani je wakati inauma dadako kubeba mimba nyumbani we umesahau umetoka kwa dada wa mwenzako, mkuki tupa kwa nguruwe lakin ukija kwako japo inauma kaza tu hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaotafuta bikira mtafute tu ila mm binafsi ikifika wakati nataka kuweka ndani awe single mom ila kitu ntakataa ni mtoto aliyejitambua huyo sichukui afu pia jamaa asahau kuhusu huyo mtoto ntalea kama wangu foreva atajua mm ni babake pia siwez chukua kwareason za mwanamke nacheki kama jamaa amemkana mtoto itanoga zaid as long anajua kufight maisha ataniheshimu na nimempenda hase i dont care kabisa kuumiza akili kwa pesa tu imetosha sihitaji kufanya maisha magumu zaidi,siwez saka bikira wodi ya wazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom