Cute Msangi
Member
- Apr 11, 2023
- 79
- 226
Ulisema wew una muonekano wa kiume (tomboy) Acha inyeshee😅😅😅Kuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.
Mademu wa Arusha hamjitambui utom boy unawaponza na uchafuKuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.
Naoana hata Kikwete ushawishi wake umepoteaKuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.
Kikwete ana ushawishi ganiNaoana hata Kikwete ushawishi wake umepotea
Ana ushawishi Kama Rais wa nchi,na mwanasiasa hodariKikwete ana ushawishi gani
Acha kuwaamini Wana siasaAna ushawishi Kama Rais wa nchi,na mwanasiasa hodari
Niwaamini akina nani!!?Acha kuwaamini Wana siasa
Kuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.
Wacheza mpira wengi wana wake mbona ushawishi aupunguagi?Kuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.