Kuoa au kuolewa na mzungu ni sifa!

Wanawake au wanaume wa Kiafrika wengi ni ma pasua kichwa arafu Afrika tuna dalili ya kuwa na utahila wa kizaliwa nao na ndiyo maana hatugundui chochote na hatuendelei so watu siku hizi tunajaribu kumix vinasaba ili kupunguza generation ya matahila meusi. TRUST ME
 
We jamaa ungefaa sana kuwa puppet Wa wakoloni maana huoni hata uafrika hapa ninaoutetea ,
Cha msingi je ni mapenzi kweli au kuna influence ya materials na psychology inahusika!!?wakeup and smell the coffee assimilate!
Atakuwa ameoa mzungu huyo ndo maana anajitetea
 
Acha hizo mzee kwani mtu kuupenda na kuuthamini utamaduni wake hiyo nayo ni utumwa?
 
Acha hizo mzee kwani mtu kuupenda na kuuthamini utamaduni wake hiyo nayo ni utumwa?
Si utumwa.

Lakini, kupenda na kuuthamini utamaduni wako maana yake uwashutumu watu walioamua kuoa au kuolewa na wazungu?

Utamaduni wetu ni pamoja na kuheshimiana.

Kuheshimiana ni pamoja na kujua mipaka ya mambo ya faragha.

Mambo ya faragha ya mtu ni pamoja na uchaguzi wa nani anataka kumuoa au kuolewa naye.

Sasa mtu mmoja baki kumpangia mtu mwingine baki nani wa kuoa au kuolewa naye, au kumsema nani wa kuoa au kuolewa naye, si utamaduni wetu.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alikemea ubaguzi wa rangi. Alikemea weupe kubagua weusi Afrika ya Kusini.

Watu wakaja na dhana ya uzawa Tanzania. Akaikemea nayo. Akasema ni ukaburu tu ule ule.

Sasa kwa nini tunabagua walioamua kuoa au kuolewa na wazungu kwa hiyari zao?

Huu sio ubaguzi ule ule alioukemea Mwalimu Nyerere?

Martin Luther King alisema tusimhukumu mtu kwa rangi ya ngozi yake, bali kwa tabia zake, sasa mbona tunaingia kwenye mtego wa ubaguzi wa rangi wa kubagua watu kwa sababu ni wazungu?
 
Kuoa mzungu ni utumwa wa kifikra mzee, wewe ni mbongo halafu mtoto wako mzungu wewe unaona sawa hapo
 
Mika ya 79 - 85 niliwalamba vizee vya kizungu vitano kwa nyakati tofauti vikiwa na umri Kati ya Mika 32 - 55, sikuona mwenye "sugi" wala "rikong'o" ndefu vitu ambavyo ndiyo vinanipa mzuka!!!!
tupe stori zaidi mkuu inaonekana una stori ya ziada
 
you must be mixed haya and chagga kwa jinsi nlivyokusoma
 
Tatizo wazungu k zao zimepoa mno yaan baridiiiii kama barafu vile tofauti na hawa waswazi wenzetu ni moto, tamu, mtelezo na zinanoga utamu hadi kisogoni
 
Kuoa mzungu ni utumwa wa kifikra mzee, wewe ni mbongo halafu mtoto wako mzungu wewe unaona sawa hapo
Ukirudi kinyumenyume hivyo kwa fikra za kijinga utataka kumuoa mama yako ukamilishe racial purity.

Zaidi, hqbari ya mwanamme mmoja kuanza kuchunguza kwa nini mwanamme mwingine kaoa alivyotaka yeye ni mwanzo wa huyo mwanamme anayechunguza naye kuja kuolewa.

Kiumeni kila mtu anatafuta anachopenda.

Kuanza habari za kwa nini huyu kapenda pale ni umbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…