Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Katika raha kubwa ambazo shawahi kukutana nazo ni pamoja na hii ya kuoa mwana mke anayenizid miaka yaan ni raha sana masela wangu

Kwanza anajiendesha mwenyewe pasipo shulut
Anajua unataka nini kwq wakati gan
Pia anajua huu mda ni wa nini
Pia wanajua kutuliza ile mbaaya
Pia wanajua kupenda ile mbaya
Pia wanaridhika hata njaa wanalaa
Pia hawana tamaa kabisa hata kidogo
Mda wa kupeana mautamu utapenda mwenyewe yaan ni furaha iliyozid utamu

Mimi saiv sitaki dogo dogo wenzangu nakomaa na jimaa langu ingawa na miaka 24 na lenyewe liko kwenye 30 na zaid huko

Wadogo wanasumbua sana kwaherin nishawapa mkono wa kher

LONDON BABY
 
Mmmh kumbe we serengeti boy upo na serengeti mammy!!! Hongera sana mkuu.

Task Force12
 
Mapenzi yana mambo mengi sana, mkuu ukipata anayekupa japo 70% ya unachotaka na akawa na tabia njema tulia nae umri sio swala sana..

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu mimi napata zaid tisin asilimia mkuu
 
usipende kulelewa ndugu pambana, fanya kazi.....ila usisahau kuwa kinachokufurahisha wewe mwingine kinaweza kikamliza....muombe MUNGU yasikukute
Mkuu mbona mimi ninabishara zangu fresh tu na yule mama anakaz yake selikalin uhamiaji
 
Watoto wa kiume wa siku hizi sijui tunakosea wapi kuwalea.
Kwan kosa liko wap hapo kupenda napo ni makosa siku hiz

Mkuu mimi nishapenda sana hawa wadada ninaoendana nao umri tatizo hawaridhiki yaan kila kitu akiona yeye anataka yaan ni watu waliojawa tamaa huwez amin

Pia kwenye suala la mapenz kwa hawa madada wadogo linaumiza kichwa wana wanaume wa kila aina na kila sector, akienda salon ana jemba anakonunuaga vipodoz anajemba pia anakoenda sokon kunua nyama ana jemba

Tamaa ina inawasumbua hawa watu asione kitu kataman
Asione mwana ume mrefu kamtaman, pia akiona mweupe kamtan hapo bado hajaona mwenye six park pia bado hajaona mwenye verosa yaan ni shida tupu

Lakin hawa mama wanaridhika
 
Kwan kosa liko wap hapo kupenda napo ni makosa siku hiz

Mkuu mimi nishapenda sana hawa wadada ninaoendana nao umri tatizo hawaridhiki yaan kila kitu akiona yeye anataka yaan ni watu waliojawa tamaa huwez amin

Pia kwenye suala la mapenz kwa hawa madada wadogo linaumiza kichwa wana wanaume wa kila aina na kila sector, akienda salon ana jemba anakonunuaga vipodoz anajemba pia anakoenda sokon kunua nyama ana jemba

Tamaa ina inawasumbua hawa watu asione kitu kataman
Asione mwana ume mrefu kamtaman, pia akiona mweupe kamtan hapo bado hajaona mwenye six park pia bado hajaona mwenye verosa yaan ni shida tupu

Lakin hawa mama wanaridhika
Kwahiyo ukaona bora uolewe!!!
 
Back
Top Bottom