Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Naunga mkono hoja moja kwa moja tena mimi natafuta mwingine humu humu hahaha

Sent from my SM-N9200 using JamiiForums mobile app
 
Aya bhna ngoj tufanye reasech na sie

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Miaka 30 sio mingi, wa kawaida huyo nilijua wa miaka kuanzia 50 huko...haya kila la kheri...je VITU VIMO? Mi najua huwezi jipeleka humo kama ni flati screen..utakuwa umefuata vitu bwa mdogo....kama vitu vimo komaaa humohumo
 
usipende kulelewa ndugu pambana, fanya kazi.....ila usisahau kuwa kinachokufurahisha wewe mwingine kinaweza kikamliza....muombe MUNGU yasikukute
Hajasema ana lelewa.... Kasema ana date na overage bhana, mwacheni mwenzenu
 
Mkuu mbona unakisoe adabu kaz yangu kaz ip na akili zangu ni akili gan hebu nambie au unanitafutia ban
vip mkuu, Ngeleja karudisha 40.4M of 300B, zile ambazo siyo za umma sasa tumepewa.

vipi hatuandamani kumpongeza?
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Katika raha kubwa ambazo shawahi kukutana nazo ni pamoja na hii ya kuoa mwana mke anayenizid miaka yaan ni raha sana masela wangu

Kwanza anajiendesha mwenyewe pasipo shulut
Anajua unataka nini kwq wakati gan
Pia anajua huu mda ni wa nini
Pia wanajua kutuliza ile mbaaya
Pia wanajua kupenda ile mbaya
Pia wanaridhika hata njaa wanalaa
Pia hawana tamaa kabisa hata kidogo
Mda wa kupeana mautamu utapenda mwenyewe yaan ni furaha iliyozid utamu

Mimi saiv sitaki dogo dogo wenzangu nakomaa na jimaa langu ingawa na miaka 24 na lenyewe liko kwenye 30 na zaid huko

Wadogo wanasumbua sana kwaherin nishawapa mkono wa kher

LONDON BABY


habali= habari

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia kwamba ukiwa n mwanamke alekuzd umri ni unalelewa n unakuwa hufanyi kaz? Wacha fikra potofu, kam hvyo ndivyo akili yako inavokutuma bs pole sana mukuu....

Nna shaka n upeo wako wa kufikiri ktk swala kam ili n hatimae unapelekea upotoshaji usokuwa n tija! Kwa mara nyngine nakupa pole sana.... Kam ww huwez kuwa ktk hali kam hii mukuu its betta you stay quite away 4rm this instead of kuropoka mukuu...

Bnafs (30) naish n mwanamke mwenye miaka 42 kwa sasa n soon tunapata mtoto wa pili, ana kibarua chake the same to me.... Wote tunapambana kusaka mkate tho changamoto ktk maisha kiujumla zpo ila ni za kawaida munoo mukuu!

In brief, naenjoy sana n uyu mwanamke coz sote tu wawazi kwa kila m1, uhuru upo, ni kiongoz mzur kwangu nae pia angali akiniheshimu ktk yote.... Amenifanya niitwe baba, n mengine mengi tu mazur mukuu tho mabaya yapo pia n ni kwa wote... bt ni mistakes za kawaida ambazo kibinaadam zpo, n hakuna mkamilif dunian....
So, Yaan naendana nae munooo!

Thus please, usipotoshee umma kwa izo kauli zako, chunga sana mukuu.... Kam ww yalikushinda its betta you stay quite out of this, n kam hutojali ukahitaji waweza jifunza kwa walofanikiwa,

pole kwa mara ya 3 [emoji4]

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
mtu mzima mwenye miaka 30 hawezi kuandika muandiko wa kitoto kama ulioandika ....ila sishangai wenye kupenda kulelewa ndio wenye muandiko kama wako....pole sana
 
Back
Top Bottom