Mmmh!!Nina mafua siwezi kuandika vizuri😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh!!Nina mafua siwezi kuandika vizuri😀
Ni bora ingekuwa kipindi cha kiangazi. Na baridi hili, mafua ni balaa 😀 . Sijui unaishije huko peke yako.😂😂😂😂😝
Kuna muda ......bas tu acha nkae kmy!!Hayo ndo mambo sasa
Ni kweli, endelea kuvumilia hadi nirudi dear. Watu wengine joto lao si salama kwa afya 😀😔uvumilivu mkuu
Mwenyez Mungu akupiganie aiseeTena wamama single parent wana nyege balaa, unampelekea moto na hela anakupa safi.
UKIMWI usiponipata mwaka huu haunipati tena hahahaa
Baada ya ndoa kuvunjika mekuwa na akili sio yangu kabisa jini mahaba limenivaa.
Nyege nyege muda wote na kubadilisha wanawake.Mungu aingilie kati kwakweli
Amen aisee...Mwenyez Mungu akupiganie aisee
Weekend ijayo nitakua mbeyaHawana jipya,wote wapo Dar...umbali siyo yaan[emoji53]
Kwa haya mambo mnayoyafanya wanawake. Mnatupa ugumu sana wa kuwafikisha kileleni.Tena sana mkuu
Huwa u mkweli kupitiliza binti😂nimetoka shamba kupanda mahindi mie,nakimbizana na mvua
Pole sanaNDIYO
YaniniPole sana