Kuoga baada ya Faragha

Ukiwa member humu lazima ukomae tu BT.
Usafi muhimu sana bibie wakati wa majamboz!!!!!!!!!!!!!!
 

Ndugu yangu, unataka kupiga mambo halafu uendelee kuzurura na ile harufu ya mambo na mijasho mwilini? Ni vzr kuoga aisee hata kama mtapiga mambo mara kumi, Dar joto bwana ... loh!
 
hihihhiiiiiii mie bado mtoto, mnanikomaza humu ndani loh....
Hahaha BADILI TABIA, twenzetu jukwaa la wakubwa nikakufunde. Hapa watakubemenda tu.... Kama kungonoka ni uchafu, majogoo yangeoga mara ngapi? LOL
 
Last edited by a moderator:
Tena kuoga haswaa..ucmuachie mwenzio fungus..muhm kuoga kujfuta kwa ktambaa safi...kuondoa majasho na maharuf mabaya..msilambane uchafu..lol..

Na kulambana kupo??? unalamba nini sasa? we mkare
 
Unaoga kidogo sio unaoga mpaka Ile harufu ya nanii (kuku wa kienyeji) iishe harufu hyo nayo ina raha yake kwenye mapenzi.
 
kwel Jf [MMU] chuo cha mafunzo
 
Wasiyeoga baada ya kujamiiana ndio wale wanaokumbwa na popobawa!
 
hata kama ni mafinga.

Mtwivila si uko kwako?

Mjiandae hata kama mtaweka maji kwenye semosi kwa ajili ya asubuhi lol.

Kwa kiubaridi hiki cha hapa MTWIVILA....acha wewe, utaoga peke yako!
 
raha ya lile tendo uoge/uwe msafi jaman, ukimaliza tu round ya kwanza jiswafi na maji alafu rudi tena anza upya hata kama round zitakuwa 20 ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…