Kuoga mara mbili

Swala SI kuoga nafikiri miundombinu ya bafu si rafiki kwa namna moja au nyingine
Pakawaida tu tena pakwangu sishei na mtu basi tu yaan nkizaa mtoto wa kiume akachukua hii akili angu sijui itakuaje[emoji19][emoji19][emoji19]
 
Pakawaida tu tena pakwangu sishei na mtu basi tu yaan nkizaa mtoto wa kiume akachukua hii akili angu sijui itakuaje[emoji19][emoji19][emoji19]
Huna wakushea nae labda? Nafikiri pia hili nalo ni tatizo jingine linalochoche kutopenda kuoga
 
Ivi inawezekana kila mtu azunguke siku nzima afu usiku tulale kitanda kimoja bila kuoga [emoji848][emoji848][emoji848]
hapo kweli co sawa ila maMEN tukiwa wenyewe tu siku2 kawaida hatuogi ila kuendelea mbele ni uchafu labda uwe sehemu za baridi sana. Ni mawazo yangu tu lakini
 
Kuoga si lazima hata katiba ya JMT haijazungumzia suala la kuoga. Ni utashi wa mtu aoge au asioge.
 
Sio bure ww utakua uanatumia madawa ya kulevya , maana watumiajia wengi Wa hicho kilevi hua hawapendi kuoga
 
Utakuwa una nyota ya jangwani ndo maana
 
Samahani pisi kali ushawahi kisikia kitu inaitwa Poti!!? Halaf kuwa na uchaguzi sahihi wa pafyum kuoga bye bye


Kichwa BoX
 
Pole sana...

Weka picha tuone, pale usipooga mwili unavyokuwasha alisikika member mmoja...




Cc: mahondaw
 
wewe ungekuwa na allergy kama mimi usingeoga kabisa, me nikitoka kuoga nawashwa hatari lakini nishazoea lazima nioge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…