Kuoga na mume au mke wako...

Kuoga na mume au mke wako...

Upendo ni hata kuswafiana, hujui kuna kusuguana sehemu kama mgongo nk. Hivyo ni vizuri kuzidishiana upendo kila inapowezekana.
 
Wakuu nisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kuoga na mke wako?au ni fasheni tu!!!



Yaani Chaku, why are you asking for the obvious? Kuna raha kama hiyo tena? kusuguana mgongoni ambako hakufikiki, eeh, si ndo kusaidiana kwenyewe kwenye 'shida na raha'.....kwangu mi hiyo ni kawaida kabisa tena rahaaa!

unless lakini, hali hairuhusu mfano kwenye bafu pass port size!
 
Wewe binafsi unaonaje? Fuata moyo wako wala usijali wengine wanafanya nini.


Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!
 
Yaani Chaku, why are you asking for the obvious? Kuna raha kama hiyo tena? kusuguana mgongoni ambako hakufikiki, eeh, si ndo kusaidiana kwenyewe kwenye 'shida na raha'.....kwangu mi hiyo ni kawaida kabisa tena rahaaa!

unless lakini, hali hairuhusu mfano kwenye bafu pass port size!

........na uswahilini kwenye mabafu ya foleni watawaroga bure, coz hamuwezi kukoga wote halafu katoka hivi hivi wajameni bila hata kudonoana kidogo japo kamoja!!, au nakosea wajameni?
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!

Ndugu yangu,
Huyo wa kwako mchafu hivyo ulimuibua wapi? Maana nijuavyo mimi usafi wa mwanamke ni kila kitu..... huyo anayekaa na minywele michafu wiki hadi sita ana tatizo la ukwasi! Mwezeshe ili awe msafi kama wanawake wengine!
Unaweza kuomba ushauri tukujuze usafi wa mwanamke unatakiwa vipi.
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!


Hee we kweli yamekukifu maenjoface tena kwenye nywele?

Jamani kwani wako huwa hakuagi kwenda saluni? Saluni huwa wanaosha nywele jamani in case hujui--- i cant imagine ukae na rasta wiki 5 hujaosha !
 
Hee we kweli yamekukifu maenjoface tena kwenye nywele?

Jamani kwani wako huwa hakuagi kwenda saluni? Saluni huwa wanaosha nywele jamani in case hujui--- i cant imagine ukae na rasta wiki 5 hujaosha !
huyo wako mchafu humuwezeshi,wenzako watamuwezesha na wataoga nae,mlanawe umzuieeee,shauriako
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!

Mkuu huyo wa kwako ulimpata wapi? usigeneralise namna hiyo hata walio wasafi hapa watajisikia vibaya.
 
Pakajimmy umechemsha! Omba radhi!
Si umeona ulivyowagusa vibaya watu hapa jamvini?

Hee we kweli yamekukifu maenjoface tena kwenye nywele?

Jamani kwani wako huwa hakuagi kwenda saluni? Saluni huwa wanaosha nywele jamani in case hujui--- i cant imagine ukae na rasta wiki 5 hujaosha !

huyo wako mchafu humuwezeshi,wenzako watamuwezesha na wataoga nae,mlanawe umzuieeee,shauriako

Mkuu huyo wa kwako ulimpata wapi? usigeneralise namna hiyo hata walio wasafi hapa watajisikia vibaya.


Ama kweli! Mtu anaenda kuibua kitu huko anakojua yeye halafu anakuja hapa kutukanisha wanawake wote!

Inaelekea hata yeye mwenye hajui anazungumzia nini.Kama hujui usikurupuke kuja kukashifu.Ungeanza na huyohuyo mtu wako umuulize
" mamaa, mbona huoshi nywele, mbona unajikwatua ilhali u mchafu?" Akimalizana nae, aje hapa jamvini kuomba ushauri wa namna ya kumshauri huyo mwandani wake asiyetaka kuosha nywele.
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!


uwe makini na maneno yako, mengine aibu tupu.
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!


wabeijing wamecharuka, mkuu watake radhi bana ili hali ya hewa iwe nzuri mahali hapa.
 
Mwezeshe ili awe msafi kama wanawake wengine!
Unaweza kuomba ushauri tukujuze usafi wa mwanamke unatakiwa vipi.

Hehehehe naona jamaa mkono mfupi kuzama mfukoni.
Huyu wife akinaswa na Lipedeshee utakuja kuomba ushauri hapa mwache free mpe anacho taka.
 
He! he! he! te! te! te!, jamani wanawake mkiguswaaa, nafurahia sana mnavyo mkomalia huyu jamaa. Bado TAMWA, TAWLA, UWT,MEWATA,WAWATA... hawajatoa tamko,jamaa hatarudi tena!( jokes)
 
Lakini ukweli unabaki pale pale idadi kubwa ya wanawake ni wachafu sana kwa ndani namtetea jamaa hapo juu huu ni ukweli nani hapa ajitokeze aseme ukweli katoka kusuka Rasta kwa mmasai alafu akaosha kichwa siku hiyo aseme hapa.
 
Lakini ukweli unabaki pale pale idadi kubwa ya wanawake ni wachafu sana kwa ndani namtetea jamaa hapo juu huu ni ukweli nani hapa ajitokeze aseme ukweli katoka kusuka Rasta kwa mmasai alafu akaosha kichwa siku hiyo aseme hapa.

Kwani ni lazima waoshe nywele kwa kutumia maji na sabuni?? kuna spray mbalimbali wanazotumia kusafishia nywele. Fidel80 mbona umekariri namna hiyo??
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!

PakaJimmy
Hapa umekuwa too general, bora ungesema baadhi ya wanawake mkuu ikiwamo huyo wako. Pia mwanamke mrembo na anayejua mambo ya urembo, halali na vipodozi usoni/mwilini hata kama haogi usiku huo mana ni lazima aoshe uso vizuri kuondoka vipodozi.
Pia wanawake wengi kila wiki saluni na kuosha nywele ni kati ya shughuli za saluni..

@Chaku
Kuoga na mume/mke ina raha yake mana mnapiga stori,utani na kusuguana kwa mgongo wakati huo wa kuoga. binafsi siwezi kusema ni fasheni, ni mapenzi ya watu na wafanyavyo nyumbani mwao.
 
Kwani ni lazima waoshe nywele kwa kutumia maji na sabuni?? kuna spray mbalimbali wanazotumia kusafishia nywele. Fidel80 mbona umekariri namna hiyo??

Yeah lakini wengi wao hawana uwezo wa kusafisha kila siku mkuu lazima ukubali. Kipato mkuu Rasta hizo mtu akisuka anakaa nazo mwezi yote hii kwa ajili kipato.
 
Back
Top Bottom