ngonzi zomukama
Senior Member
- Apr 13, 2010
- 170
- 6
Hata ingekuwa bafu la nyasi! Kuoga pamoja ni muhimu! Kwa kweli mimi nikiikosa hii fursa huwa naona kama nimenyimwa tendo kabisaaaa!
usemayo ni kweli kabisa kuoga pamoja ni muhimu haijalishi bafu liko namna gani