Kuogopa kutendwa nimeamua kuoa asiyejua kusoma na kuandika, zaidi ya kuandika jina lake hajui chochote kingine

Kuogopa kutendwa nimeamua kuoa asiyejua kusoma na kuandika, zaidi ya kuandika jina lake hajui chochote kingine

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Nimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.

Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.

Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
 
Nani atafanya homework za watoto wako usipokuwepo?

Wahenga wanasema pasee flani watoto wanachukua akili za mama. Kila la kheri na huyo chizi fresh wako 😂😂 ‘umesema mwenyewe ukimtizama ni kama hazijatimia’
 
Hazipo sawasawa eti Dah umetendwa mara ngapi mkuu?

Sema uzoba sio sababu ya yeye kutokukutenda ,tena utatendwa huku unajiona

, na kujua kuandika na kusoma sio sababu ya ndoa kuvunjika

Kila mtu ashkilie majukumu yake..kila la kheri na zoba wako mkuu
 
Nani atafanya homework za watoto wako usipokuwepo?

Wahenga wanasema pasee flani watoto wanachukua akili za mama. Kila la kheri na huyo chizi fresh wako 😂😂 ‘umesema mwenyewe ukimtizama ni kama hazijatimia’
Watoto huwa wanarithi IQ za mama zao.Sasa huyo mwenzetu amejichanganya sana maana shuleni watoto wake watazungusha Sana miduara😂
 
Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.

*************

Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?

Umemzalisha watoto wangapi hadi sasa?
Ila ujue watarithi akili za mama kwa kiasi kikubwa, na ndiye atakayewalea muda mwingi wa makuzi yao.
 
Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.

Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.

Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Hapo umeula. Sitilesi za ndoa utazisoma JF
 
Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.

Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.

Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Na watoto wako wanaishi mjini na kulelewa na huyo huyo! Inferior men create weaker societies. End of story
 
Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.

Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.

Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Una balloo'n dio zako 😊😊😊
 
Na watoto wako wanaishi mjini na kulelewa na huyo huyo! Inferior men create weaker societies. End of story
Hata masiya wa bwana alizaliwa kwenye hall la ng'ombe Ila watu walistaajabia hekima na majibu take easy hata ukizaliwa na CHIZI MAARIFA still unaweza kuja kua a distinguished individual 😊😊
 
Back
Top Bottom