Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Huo ndo uoga wenu. Most men are inferiorMzee
Kusoma au kuto kusoma kwa mtu sio ndio kipimo Cha mtu kua na akili au upeo wa kimaisha
Na hata ukiangalia ndoa za wanawake wasomi nyingi hazija dumu ie. Case study unaweza kuanzia kwenye ukoo wenu hususani hata baba na mama yako samahani lakini๐๐
โ๏ธโ๏ธโ๏ธ
Kama inateleza, anazaa na anaweza kuvuka barabara nini cha ziada unachotaka?Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Kuna watu ukiondoa Degree yake kichwani aliyosomea anabaki hata za kuvuka barabara hana.Mzee
Kusoma au kuto kusoma kwa mtu sio ndio kipimo Cha mtu kua na akili au upeo wa kimaisha
Na hata ukiangalia ndoa za wanawake wasomi nyingi hazija dumu ie. Case study unaweza kuanzia kwenye ukoo wenu hususani hata baba na mama yako samahani lakini๐๐
โ๏ธโ๏ธโ๏ธ
Naunga mkono hojaUkiona mwanamke anatumia jf, muoe ni wife material huyo.
Ni wanawake wachache sana wanaotumia huu mtandao
Kuna mwenzio kaoa bubu mwisho wa siku katendwa na bubu katoweka..Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Jiandae na ada za kulipa mara mbili mbili kwa darasa mojaNimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Vijana kama wewe ni wakufungiwa jiwe shingoni mtoswe baharini..BLAD FAKENAfadhali wewe.
Wake zao ambao ni wafanyakazi tunawamanua kinoma
Huu ndio Ukweli Mkuu.Kama nimeipenda hivi
Kosa kubwa linalofanywa na wanandoa wengi ni kufikiria jamii itasemaje juu ya mwenza wake ama kumchagua mwenza kwasabb ni photogenic atavutia nikimpost.Oeni hao mazombi wenzenu ila nna swali moja, utaongozana nae katika shughuli za kijamii??! Utaenda nae kwa marafiki zako? Utataka wajue ndo mkeo?
๐ ๐ ๐ umetishaNimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
We ms*nge umenichekesha knomaNimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?