Kuolewa imekuwa muujiza au bahati?

Kuolewa imekuwa muujiza au bahati?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Nipo hapa saloon nimemleta biharusi saloon anaolewa leo kama mjumbe wa kamati kuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Katika kupiga piga Stori na mwali hapa saloon naona Hadi huruma

Money Penny: mkwe wangu, unapenda Mungu Akubariki na watoto wangap?
Wa kike au wakiume?

Biharusi: mmmh kwakweli hapo sijajua, maana skuhizi kupata watoto ni shida kwahiyo tutaangalia mbele Kwa mbele Mungu atakaetupatia ndio Huyo Huyo

Money Penny: okay, na ukipata mtoto WA kike utamwita Nani?! WA kiume je?

Biharusi: mmmh kwakweli sijui, sijawahi hata kuwaza jina kabisa, tutajua mbele Kwa mbele

Money Penny: okay

Sasa nipo hapa saloon wanamwulizia pia tukupake rangi gani ya mikono na miguu anasema hajui apakwe yeyote Tu itakayompendeza na kudamshi

Me bado sijaelewa, kwani ma biharusi WA skuhizi NI kwamba ndoto za kuolewa huwa hamnaga kabisa au kuolewa kwao NI muujiza?!
Mbona warembo hawajajipanga?!
Shida nini?!

Nawasikiliza wajumbe wenzangu WA kamati kuu ya JF๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Kuna tofauti kati ya kuolewa na kufanya harusi.
Pili swala la utazaa watoto wangapu ama utapenda aitwe nani sio la kufanyia maamuz peke ako ndio maana kajibu atajua huko mbele ya safar.

Huyo ndio mke bora sasa yeye akili mwake alikuwa ana time na harusi yeye inaonekana aliitaji ndoa tu, hana time ya kumpangia Mungu uumbaji maana anajua watoto ni Mungu ndio anaruhusu upate ama usipate
 
Huy mwelevu san kaa kimy mafanikio mbele yanatokea unaulizwa ushalopoka unajuaje kama utazaa watoto wa ngap na mume hayup nisaloon uko na vishost vyako
 
Are you a girl or lady or woman?!
Kuna vitu ambavyo wanawake tunavyo, dreams before and after ndoa
Unless Ur a woman, don't stress, hutaelewa
Nadhani unawaza Wewe ulivyokuwa siku ya harusi yako..Basi Watu wote tupo Hivyo..kwakua Wewe Ni muongeaji unataka nayeye aanze kubwata Kama Wewe..
 
Ulitaka ajipange Nini.... Yaaani mtu kutokuchagua rangi ya kucha na mdomo..ndo inafanya ndoa kuwa bahati au muujuza?..

Naona Wewe ungeendelea Kupost YouTube tu
Acha ukorofi My good friend Analyst,

Huy mwanadada alipaswa kuonesha furaha na bashasha kama ilivyo zoeleka kwa wanaharusi
Kwanini yeye awe hivyo ? Yani Mwanamke aulizwe rangi za kucha aseme zozote tuu zakupendeza amekua mwanaume ? Mbona wewe ushapanga idadi ya watoto utakao zaa na majina kabisa
Au yeye kapelekwa mpera mpera [emoji23][emoji28]
 
Sawa mwanaume WA Dar
Tafadhali usitufokeee, jibu Tu swali
Ww co kila palipo na moshi Kun hela mchaga ww unawezaje kuongea malengo yak faster hat rob tuu hujatimiza kam tuu ndoa bado asem nn huy anajua kila kitu lakin kufanya kam.hajui ni ishara ni msiri bhn
 
Acha ukorofi My good friend Analyst,

Huy mwanadada alipaswa kuonesha furaha na bashasha kama ilivyo zoeleka kwa wanaharusi
Kwanini yeye awe hivyo ? Yani Mwanamke aulizwe rangi za kucha aseme zozote tuu zakupendeza amekua mwanaume ? Mbona wewe ushapanga idadi ya watoto utakao zaa na majina kabisa
Au yeye kapelekwa mpera mpera [emoji23][emoji28]
Mh.....Sio ukorofi hatufanani...Kwakua Wewe unafikiria hivyo haimaanishi watu wote wapo hivyo...My good friend Nextman
 
Ni msiri hapendi kuweka Mambo yake wazi Ila anawachora tu.....siunajua kwenye hizo salon huwa kunaviumbea na viushakunaku flani hivi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kuna tofauti kati ya kuolewa na kufanya harusi.
Pili swala la utazaa watoto wangapu ama utapenda aitwe nani sio la kufanyia maamuz peke ako ndio maana kajibu atajua huko mbele ya safar.

Huyo ndio mke bora sasa yeye akili mwake alikuwa ana time na harusi yeye inaonekana aliitaji ndoa tu, hana time ya kumpangia Mungu uumbaji maana anajua watoto ni Mungu ndio anaruhusu upate ama usipate
Sasa shemeji Huyo Mungu atakupaje kama hujamwomba
Hapo anaonyesha NI mwanamke Bora liende, hajui NI kama ndoa amefosiwa or something
 
Nadhani unawaza Wewe ulivyokuwa siku ya harusi yako..Basi Watu wote tupo Hivyo..kwakua Wewe Ni muongeaji unataka nayeye aanze kubwata Kama Wewe..
Mami me sio mwongeaji in person kabisa
Labda behind the keyboard
Anywho birds of the same feathers fly together ma'am and am sure your her like minded
 
Acha ukorofi My good friend Analyst,

Huy mwanadada alipaswa kuonesha furaha na bashasha kama ilivyo zoeleka kwa wanaharusi
Kwanini yeye awe hivyo ? Yani Mwanamke aulizwe rangi za kucha aseme zozote tuu zakupendeza amekua mwanaume ? Mbona wewe ushapanga idadi ya watoto utakao zaa na majina kabisa
Au yeye kapelekwa mpera mpera [emoji23][emoji28]
Am glad we have some real men up in here
Thank You kwakweli
Hao hata ukiwaelekeza vipi bado watabisha, wanafanana tabia
 
Ww co kila palipo na moshi Kun hela mchaga ww unawezaje kuongea malengo yak faster hat rob tuu hujatimiza kam tuu ndoa bado asem nn huy anajua kila kitu lakin kufanya kam.hajui ni ishara ni msiri bhn
Mami, that's a normal conversation Kwa MTU ambae anaolewa kwenu
NI normal don't stress๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa kama simple maongezI unawaka hivi Yale ya ndani si utaungua๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Relax ma'am, harusi NI yetu bado๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Back
Top Bottom