Kuolewa imekuwa muujiza au bahati?

...I don't know why Watu huwa hawataki mawazo tofauti...Kwaiyo Unachofikiria Wewe...kila mtu afikirie hivyo...ukipingwa unaona Watu wanshida.

Kuwa na open mind madam YouTuber.
Hayo mawazo yako bado hayajanifanya niwe open minded at allπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ“ž
Sana Sana umenifanya nione kizazi chako ndivyo mlivyo
 
Kuna post ulishawai kusema ..nikitaka kukuona nikutafute. YouTube..Tena ukanipa na jina lako nalo nilishalisahau.
..

Niliangalia dakika chache..sikupenda content zako ..madam Youtuber
Good to know
But many wameipenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
 
Itabidi waanze kufanya kazi kama Mheshimiwa anavyotuasa
Skuhizi hata wale madanga wamepoteza soko
Ndio maana hata huku hauwaoni tena hawana hela ya bandoπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Dah NI vile wewe NI mwanaume
Kuna mwanaume mwenzio amekujibu hapo Juu akakwambia inakuwaje biharusi nzima hata rangi ya kumpendezeshea mumeo unataka saloon ikufikirieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
100% hugo Mwanamke ni wife material, majibu yake yanaashiria kila kitu na isitoshe jamaa kapata msiri wa mambo yake. Kazi kwake athamini au amuache
On my perspective mjumbe wewe
Me naona kama ni mzigo
Samahani lakini mjumbe wewe kama nimekosea huenda nimeshiba wali
 
Ulishawai kusikia ktu kinaitwa... wife material...eeeh ndo huyo Sasa

Kuna wanawake ndoa yao ipo Kwenye harusi,yaani anawaza sku ya harusi tuu hawazi misukosuko ya uko.

Kuna wengne Sasa Yani sku ya harusi kwao kama sku zengne tu....hawaijali kabsa
Wife material hata Ku carry a simple conversation hawezi?!
Ngoja nikale wali chauma πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Mipango ya Mungu hiyo kuisemea ni uongo sasa.
Hakuna aliemwuliza mipango ya Mungu
Kwahiyo kupakwa rangi nayo NI mipango ya Mungu?!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mami, hiyo NI Normal conversation (maongezI ya kawaida Kati ya MTU na MTU especially wanawake)
Hao watoto kama wapo nitawaona Tu and vice versa
Tatizo wewe unachukua kilichoandikwa tu na kujibu hufikirii nje ya boxi
 
Sasa kwan Mungu anakupa mwenza ili mfanye harusi?
Hapana anakupa mwenza mkato.mba.ne🚢🚢
Product ya kuto.mba.na anaishikilia Mungu
Inshort hajuii anachotaka, ndoa kwake imekuja sijui kama bahati au muujiza
 
Hapana anakupa mwenza mkato.mba.ne🚢🚢
Product ya kuto.mba.na anaishikilia Mungu
Inshort hajuii anachotaka, ndoa kwake imekuja sijui kama bahati au muujiza
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We K kabsaa.

Aya bhana ila hyo ndoto yake ni kuwa mke wa mtu na kuishi maisha ya ndoa, maswala ya harusi yalikuwa hayapo kichwan mwake
 
Nadhani unawaza Wewe ulivyokuwa siku ya harusi yako..Basi Watu wote tupo Hivyo..kwakua Wewe Ni muongeaji unataka nayeye aanze kubwata Kama Wewe..
Na wanaume wa Sasa hawataki mabinti wabwatukaji hawajafunzwa kukaa nao. Wanajionea tabu tu, ndio maana wengine wanashinda bar. Huyo mdada formula ameijua mapema.
 
Na wanaume wa Sasa hawataki mabinti wabwatukaji hawajafunzwa kukaa nao. Wanajionea tabu tu, ndio maana wengine wanashinda bar. Huyo mdada formula ameijua mapema.
Asee mjumbe
Kuna rafkiangu MKE wake mpole kama kamasi
Lakini mumewe anashinda baa Kila alhamisi mpaka jumapili,
Cha ajabu anashinda NAO baa NI wanawake mabwatukaji kuliko mtangazaji Dida πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…