Kuolewa ndio kipimo cha upendo?

Kuolewa ndio kipimo cha upendo?

Kuolewa ni kupendwa, mpaka mtu aamue kuchagua kuishi na mwanamke, awe mama wa watoto wake, ajifunike shuka moja na yeye tarehe moja ya mwaka huu hadi tarehe moja ya mwaka wa mwisho....ni mapenzi lakini pia ndoa ni zaidi ya mapenzi
 
Marriage 👇🏻👇🏻👇🏻🤣🤣
Screenshot_20230207-143405_Facebook.jpg
 
kuolewa ni kuhalalisha mbele za Mungu na jamii kwa ujumla kuonesha kwamba ninyi wawili mmeamua kuacha uzinzi na kuishi kama maamrisho ya Mungu yalivyotaka, na mpaka unaolewa means wewe ndio the best kwake, chaguo sahihi kwake, ameona mnaendana ndio mana ukaolewa hivo kuolewa ni kupendwa na unapoolewa unatakiwa uiishi ndoa yako
 
Kuolewa ni kupendwa, mpaka mtu aamue kuchagua kuishi na mwanamke, awe mama wa watoto wake, ajifunike shuka moja na yeye tarehe moja ya mwaka huu hadi tarehe moja ya mwaka wa mwisho....ni mapenzi lakini pia ndoa ni zaidi ya mapenzi
Kuna yale mahusiano ya mda mfupi sana let say within a month umekutana na mtu anataka kuoa na wee upo tayari kuolewa. Then boom mnaoana. Inakuaje na hapo
 
Kuna yale mahusiano ya mda mfupi sana let say within a month umekutana na mtu anataka kuoa na wee upo tayari kuolewa. Then boom mnaoana. Inakuaje na hapo
kila mtu ana maono yake, kuna wale ambao hawana kuremba lengo ni ndoa then boom kapata mtu kwa huo mwezi kaona anamfaa wamekubaliana wameoana kuna wengine mpaka tuchunguzane miezi kila mtu ajiridhishe then ndoa
 
Iwe mchana iwe usiku iwe jua iwe mvua ndoa ni heshima na ni ndoto ya kila mwanamke kama ilivyo ndoto ya kila mwanaume kuwa na pesa kataeni ila ukweli ndio huo

Yule zuhura yunus ana kila kitu ila mwisho wa siku kaamua kuolewa halafu mwajuma ndala mbili wa tandale anapinga ndoa

Yule diva the bawse siku anaolewa mwezi mzima anafurahia tu na mpaka leo haaamini kama na yeye kaolewa licha ya kujifanya mwanaharakati ila halali na nguo

Wale kina salama jabir na madam rita wanatamani ndoa sema wanajikaza tu ila moyoni wanaumia hawana jinsi

Yule dida wa wasafi TV ukimtangazia ndoa hajiulizi mara mbili

Wanawake mnaoponda ndoa mna psychological problems wote kwa mwanamke ndoa inaleta heshima endeleeni kujipa moyo mje kuolewa mke wa pili na hamtawapata wakuwaoa wakati huo.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Iwe mchana iwe usiku iwe jua iwe mvua ndoa ni heshima na ni ndoto ya kila mwanamke kama ilivyo ndoto ya kila mwanaume kuwa na pesa kataeni ila ukweli ndio huo

Yule zuhura yunus ana kila kitu ila mwisho wa siku kaamua kuolewa halafu mwajuma ndala mbili wa tandale anapinga ndoa

Yule diva the bawse siku anaolewa mwezi mzima anafurahia tu na mpaka leo haaamini kama na yeye kaolewa licha ya kujifanya mwanaharakati ila halali na nguo

Wale kina salama jabir na madam rita wanatamani ndoa sema wanajikaza tu ila moyoni wanaumia hawana jinsi

Yule dida wa wasafi TV ukimtangazia ndoa hajiulizi mara mbili

Wanawake mnaoponda ndoa mna psychological problems wote kwa mwanamke ndoa inaleta heshima endeleeni kujipa moyo mje kuolewa mke wa pili na hamtawapata wakuwaoa wakati huo.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
sawa ni heshima, Ila hujajibu swali mkuu, kuolewa ndo kupendwa??
 
Hapo kwenye kuiishi ndoa, tupe machache mwaya tujifunze
kuolewa ni kuhalalisha mbele za Mungu na jamii kwa ujumla kuonesha kwamba ninyi wawili mmeamua kuacha uzinzi na kuishi kama maamrisho ya Mungu yalivyotaka, na mpaka unaolewa means wewe ndio the best kwake, chaguo sahihi kwake, ameona mnaendana ndio mana ukaolewa hivo kuolewa ni kupendwa na unapoolewa unatakiwa uiishi ndoa yako
 
Hapo kwenye kuiishi ndoa, tupe machache mwaya tujifunze
ndoa njema ni ile ya watu wawili weye jinsia tofauti (me na ke) wenye kujitambua na kwa mapenzi waliokua nayo baina ya kila mtu kuamua sasa ni muda wa kua halali

kuishi ndoa ni kuishi maisha ya kufata kiapo cha ndoa pamoja maamrisho yote tuliyooamrishwa,

kabla hamjaoana mtambue tu mnaenda kutengeneza familia ambayo ina msingi wa upendo na hofu ya Mungu,

mwanamke ajue nafasi yake, mwanaume ajue nafasi yake, na wote kwa pamoja watambue wanaoana hao sio malaika, kuna madhaifu wayabebe kila mmoja abebe ya mwenzie na kuishi nayo

ndoa ni kuvumilia, sio kuvumilia vipigo NO kuvumilia hali zote (shida na raha) sio tena dada ajue anaolewa hakuna shida ndio kamaliza, atambue kuna wakat wa dhiki na wakat wa faraja astahmili na kaka tena sio umeoa leo umepata kesho umekosa mbiombio unairudisha familia nyumbani komaa, pambana kadri ukirudi nyumbani ukiiona familia yako inavyokusubiri wakat wa shida ndio iwe motisha ya kupambana zaidi


ndoa ni somo pana lakini kwa hayo machache hope umeelewa
 
"Ndoa sio lazima japo inaongeza heshima" Alisikika msanii Mwana FA akiimba kwenye wimbo wake.
 
ndoa njema ni ile ya watu wawili weye jinsia tofauti (me na ke) wenye kujitambua na kwa mapenzi waliokua nayo baina ya kila mtu kuamua sasa ni muda wa kua halali

kuishi ndoa ni kuishi maisha ya kufata kiapo cha ndoa pamoja maamrisho yote tuliyooamrishwa,

kabla hamjaoana mtambue tu mnaenda kutengeneza familia ambayo ina msingi wa upendo na hofu ya Mungu,

mwanamke ajue nafasi yake, mwanaume ajue nafasi yake, na wote kwa pamoja watambue wanaoana hao sio malaika, kuna madhaifu wayabebe kila mmoja abebe ya mwenzie na kuishi nayo

ndoa ni kuvumilia, sio kuvumilia vipigo NO kuvumilia hali zote (shida na raha) sio tena dada ajue anaolewa hakuna shida ndio kamaliza, atambue kuna wakat wa dhiki na wakat wa faraja astahmili na kaka tena sio umeoa leo umepata kesho umekosa mbiombio unairudisha familia nyumbani komaa, pambana kadri ukirudi nyumbani ukiiona familia yako inavyokusubiri wakat wa shida ndio iwe motisha ya kupambana zaidi


ndoa ni somo pana lakini kwa hayo machache hope umeelewa
Shukran, Nimekuelewa sana. Nifungulie PM nna kaswali private 🙏
 
ndoa njema ni ile ya watu wawili weye jinsia tofauti (me na ke) wenye kujitambua na kwa mapenzi waliokua nayo baina ya kila mtu kuamua sasa ni muda wa kua halali

kuishi ndoa ni kuishi maisha ya kufata kiapo cha ndoa pamoja maamrisho yote tuliyooamrishwa,

kabla hamjaoana mtambue tu mnaenda kutengeneza familia ambayo ina msingi wa upendo na hofu ya Mungu,

mwanamke ajue nafasi yake, mwanaume ajue nafasi yake, na wote kwa pamoja watambue wanaoana hao sio malaika, kuna madhaifu wayabebe kila mmoja abebe ya mwenzie na kuishi nayo

ndoa ni kuvumilia, sio kuvumilia vipigo NO kuvumilia hali zote (shida na raha) sio tena dada ajue anaolewa hakuna shida ndio kamaliza, atambue kuna wakat wa dhiki na wakat wa faraja astahmili na kaka tena sio umeoa leo umepata kesho umekosa mbiombio unairudisha familia nyumbani komaa, pambana kadri ukirudi nyumbani ukiiona familia yako inavyokusubiri wakat wa shida ndio iwe motisha ya kupambana zaidi


ndoa ni somo pana lakini kwa hayo machache hope umeelewa
Amina
 
sawa ni heshima, Ila hujajibu swali mkuu, kuolewa ndo kupendwa??
kuolewa ni suala moja na kupendwa ni suala jingine. Siyo wote walioolewa wameolewa na watu waliowapenda, ndiyo maana kuna ndoa zipo ICU, watu wanaishi kwa vile walikutana wakakubaliana tu "Bora yeshee".

Unaweza ukampenda sana mtu lakini moyoni ukawa na hisia tofauti kama anaweza kukufaa kama mume/mke.

Mtu anaolewa kwa vile yule anayeolewa naye ana kitu cha kumfaa, kitakachomletea ukamilifu katika maisha hata kama hampendi/hapendwi
 
Kuolewa na kupendwa ni vitu viwili tofauti, wengi wameolewa ila ni glorified housemaids tu lol
 
kuolewa ni kuhalalisha mbele za Mungu na jamii kwa ujumla kuonesha kwamba ninyi wawili mmeamua kuacha uzinzi na kuishi kama maamrisho ya Mungu yalivyotaka, na mpaka unaolewa means wewe ndio the best kwake, chaguo sahihi kwake, ameona mnaendana ndio mana ukaolewa hivo kuolewa ni kupendwa na unapoolewa unatakiwa uiishi ndoa yako

Kwani ndoa ni lazima itanguliwe na uzinzi?
 
Back
Top Bottom