Kuolewa raha!

Kuolewa raha!

Mtu anakufanyia yote hayo mfikirie basi hata kwa kumpa goti
 
ukiona mwanaume anamfungulia mwanamke mlango wa gari hapo kuna mawili
> gari ni jipya au > demu mpya
 
utakavyogundua bae wako ana watoto sita huko mitaani usisite kuja kutupa mrejesho hapa,hata kama utakuwa una kizunguzungu kikali....eti kuolewa raha,niokooo..
 
Wewe utakuwa kidomo domo AU

Unatabia za kipashkuna AU

Tabia yako na mumeo hazifanani AU

Mmeo haja kuzimia sana ila wewe ndiye ummpenda sana AU

Hujafikia kiwango alichotegemea mmeo na wewe unajua AU

Mmeo umempata kwa manipulation na hivyo unalazimika kuwa mnafiki AU

Huna kazi ya kufanya kila wakati uko mtandaoni AU

Mmeo hana taimu na wewe hivyo unajisikia upweke na ndiyo sababu kucha kutwa uko hapa AU

Hujui kukaa na mme, unadhani uimara wa ndoa ni mangazo kwenye media. KAMA SIVYO:-

MLIKUTANA JF, WEWE NDIYE KIHEREHERE CHA KUTANGAZA "LEO NAOLEWA" KWA NINI ASIWE MMEO?

WEWE NDIYE KILA SAA UNAJISEMESHA KA KUJILAZIMISHA "NDOA NI RAHA, KWA NINI ASISEME MANENO HAYO MMEO?

Wewe una matatizo. Mmeo anaonekana ni mtulivu na ukiendelea hivi atakuchoka na kuona kaoa mke wa kiwngo cha chini, hatimaye ataanza kukuficha mambo muhimu, atakukwepa na mwisho atakuacha. Rekebika. Ndoa si uchumba. Ni kipindi cha kuwa karibu na mwenzako katika mambo yote hadi kitabia na si kushinda mitandaoni ukisema mambo yako ya ndani.

Au hukutegemea? Utaachwa mjukuu, jifunze utulivu kama alio nao mmeo.

Shauri yako. Utarudi hapa kwangu uendeleee kupika mdalamdala!
Umesema ukweli kwa mtu mwenye utashi mdogo au anayetafuta umaarufu humu. She/he won't understand you.
 
Hili lidada hua linanitapisha na mada zake,watu wameolewa kitamboo we juzi tu basii kelele arrggggg
 
Hili lidada hua linanitapisha na mada zake,watu wameolewa kitamboo we juzi tu basii kelele arrggggg
Pole Dada, wahi kwenye sink katapikie huko wengine tunakula huku
 
monii kwa raha zakeee! Kama hawajaolewa wajitundikie tuu. Weye umeshaonja raha hii baasi. Hata akifwa leo watasema monii aliolewaga.
Tupe habari ka Nipashe mambo yalee alivyokuona siku ya kwanza, yaani siye tulibaki domo zege mwenzetu kaamua tema cheche. Bwaa kaopoa. Wenye wivu tutajimalizia Bwepande
 
utakavyogundua bae wako ana watoto sita huko mitaani usisite kuja kutupa mrejesho hapa,hata kama utakuwa una kizunguzungu kikali....eti kuolewa raha,niokooo..
Hata akiwa nao kumi hakuna shida
 
Hii ndoa ya daily updates dada uwe makini sana! Au hujui kuna uchawi wa masafa?...una nia nzuri ndiyo ya kuonesha raha ya ndoa lakini usiupuuze ushauri huo..ya dunia mengi
 
kuoa raha kuliko kuolewa. 1. ukiamka asubuhi unakuta maji ya moto bafuni.
2. ukimaliza kuoga unapakwa mafuta huku nguo zishanyiishwa, viatu vishapigwa kiwi na soksi zipo tayari.
3. ukitaka kutoka unaambiwa baba chai tayari.
4. .
......
.....
.....
.....
Mwisho kuoa raha kuliko kuoa. ningekuwa mwanamke ningejiua maana wanaume wanafaidi sana.
Nikitaka papucha muda wowote nakula mzigu except siku za d...m...u.
 
Jamani eh, Moniccca asiwadanganye wala nini, mie ndo Mchumba wake nimeamua kufunguka baada ya kuona anawalagai sana, bado hatujafunga ndoa kwasasa tunaridhishana kama kawa tu ila siku ndoa ikiwadia tutawaalika kwenye party, but for now hzo ni kiki zake tu.
 
Back
Top Bottom