Kuolewa usipopenda..

Kuolewa usipopenda..

Cjafika uo umri kabsa wa kitak kuwowa Ila nayafahamu mahusiano zaid yanavojijua yenyew
Uyo Dada mwache alete wenge tu ataijua dunia ni nan,,,,
Hakuna kitu kitam kam mwanamke akapendwa na mwanaume ,ataish kam mfalme Ila akitafuta anaempenda bhc atakuja kutoa ushuhuda wake APA jinc wanaume tulivo
[HASHTAG]#akiliyakuambiwachanganyanayako[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
Aende kwa babu, atengeneze Dawa mwanaume amkatae Mwenyewe, mwanaume atamuona km kinyesi kibichi.

Ila Amepata anayempenda, atakuja kupenda asipopendwa atamkumbuka huyo kaka.
Hahaha
 
Back
Top Bottom