Kuomba kazi ndani ya mkoa wa MBEYA

Joined
Sep 5, 2016
Posts
39
Reaction score
34
Habari ndugu zangu wa Jammi Forum, mimi ni kijana wa miaka 29, mwenye uzoefu wa kusimamia watu na tasisii kwa miaka 7, saizi sina kazi, naomba kazi yoyote ndani ya mkoa wa Mbeya, kazi yoyote nipo tayari. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…