A Ancient Knowledge Member Joined Sep 5, 2016 Posts 39 Reaction score 34 Feb 13, 2025 #1 Habari ndugu zangu wa Jammi Forum, mimi ni kijana wa miaka 29, mwenye uzoefu wa kusimamia watu na tasisii kwa miaka 7, saizi sina kazi, naomba kazi yoyote ndani ya mkoa wa Mbeya, kazi yoyote nipo tayari. Asante.
Habari ndugu zangu wa Jammi Forum, mimi ni kijana wa miaka 29, mwenye uzoefu wa kusimamia watu na tasisii kwa miaka 7, saizi sina kazi, naomba kazi yoyote ndani ya mkoa wa Mbeya, kazi yoyote nipo tayari. Asante.
Dallas green JF-Expert Member Joined Nov 17, 2019 Posts 1,377 Reaction score 2,800 Feb 13, 2025 #2 Taasisi kama zipi una uzoefu nazo na una ujuzi wa kufanya kazi zipi?
A Ancient Knowledge Member Joined Sep 5, 2016 Posts 39 Reaction score 34 Feb 13, 2025 Thread starter #3 Tasisi za Elimu kaka, hasa private.
A Ancient Knowledge Member Joined Sep 5, 2016 Posts 39 Reaction score 34 Feb 13, 2025 Thread starter #4 Dallas green said: Taasisi kama zipi una uzoefu nazo na una Dallas green said: Taasisi kama zipi una uzoefu nazo na una ujuzi wa kufanya kazi zipi? Click to expand... Tasisi za Elimu kaka, kusimamia, kufundisha, n.k Click to expand...
Dallas green said: Taasisi kama zipi una uzoefu nazo na una Dallas green said: Taasisi kama zipi una uzoefu nazo na una ujuzi wa kufanya kazi zipi? Click to expand... Tasisi za Elimu kaka, kusimamia, kufundisha, n.k Click to expand...
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Feb 13, 2025 #5 Kulima huwezi?
A Ancient Knowledge Member Joined Sep 5, 2016 Posts 39 Reaction score 34 Feb 13, 2025 Thread starter #6 kyagata said: Kulima huwezi? Click to expand... Naweza kaka, japo sina ujuzi sana
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 13, 2025 #7 All the Best