Kuomba kazi NMB Bank

Kuomba kazi NMB Bank

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Hello wadau,naombeni msaada kidogo,huwa ninaomba ajira za nmb bank kupitia site yao https://careers.nmbbank.co.tz/ lakini cha kushangaza sijawahi kuitwa hata katika interview au hata kuambiwa maombi yako yamekatatliwa yaani kimya tu.

Naombeni msaada hivi kuomba ajira zao unataikiwa upitie njia gani, maana mwaka huu naomba kazi lakini sijawhi pata update yoyote.
 
Endelea kutuma maombi ingawa watachelewa kukujibu na pia tembelea ajiraportal mara kwa mara tumia link zao kufikia sehemu ya maombi bila kusahau kutengeneza wasifu wako ulioimara na kuuweka LinkedIn na update kila unapongeza kitu kwenye elimu yako..
 
Private nying kunakuwa na interns wa kujaza hizo nafasi...hasa ndugu zao
Sasa kama kuna interns kwanini watangaze kwa public? si bora wafanye internal tu.By the way my concerning ni kwamba hata feedback kwamba hujakuwashotlisted hakuna so wanahanghang.
 
Endelea kutuma maombi ingawa watachelewa kukujibu na pia tembelea ajiraportal mara kwa mara tumia link zao kufikia sehemu ya maombi bila kusahau kutengeneza wasifu wako ulioimara na kuuweka LinkedIn na update kila unapongeza kitu kwenye elimu yako..
Asante kwa ushauri ila concern yangu ni kwa nmb.
 
Hello wadau,naombeni msaada kidogo,huwa ninaomba ajira za nmb bank kupitia site yao https://careers.nmbbank.co.tz/ lakini cha kushangaza sijawahi kuitwa hata katika interview au hata kuambiwa maombi yako yamekatatliwa yaani kimya tu.

Naombeni msaada hivi kuomba ajira zao unataikiwa upitie njia gani, maana mwaka huu naomba kazi lakini sijawhi pata update yoyote.
siyo rahisi wahangaike na muombaji wa nje wakati ndani wana watumishi wanaojitolea. jiongeze
 
siyo rahisi wahangaike na muombaji wa nje wakati ndani wana watumishi wanaojitolea. jiongeze
Sawa nakubali kwanini wasitangaziane huko huko ndani kwa ndani,
 
Sawa nakubali kwanini wasitangaziane huko huko ndani kwa ndani,
wanatangaza kufulfil takwa la kisheria tu. ndiyo maana nimekwambia jiongeze. taasisi za kibenki na hata mifuko ya jamii, usitegemee kuwa wanaajiri kutokea nje. Haya matangazo ni takwa la kisheria tu.

Kumbuka hata juzi spika ameiambia serikali inapoajiri ianze kuwatazama wanaojitolea, unadhani makampuni nayo hayafuati utaratibu huo? Na hata hizi ajira za serikali zilizotangazwa juzi, wenye nafasi kubwa ya kuzipata ni wale ambao wako makazini tayari wanajitolea.
 
wanatangaza kufulfil takwa la kisheria tu. ndiyo maana nimekwambia jiongeze. taasisi za kibenki na hata mifuko ya jamii, usitegemee kuwa wanaajiri kutokea nje. Haya matangazo ni takwa la kisheria tu.

Kumbuka hata juzi spika ameiambia serikali inapoajiri ianze kuwatazama wanaojitolea, unadhani makampuni nayo hayafuati utaratibu huo? Na hata hizi ajira za serikali zilizotangazwa juzi, wenye nafasi kubwa ya kuzipata ni wale ambao wako makazini tayari wanajitolea.
Sasa kama ni takwa la kisheria basi wasitusumbue bana.
 
Sasa kama ni takwa la kisheria basi wasitusumbue bana.
shauri yako. ni ushauri wa bure nimekupa. pingana na hali halisi, pengine ajira itakushukia tu.....wewe omba ukajitolee kwanza. huko huko utajikuta mambo yananyooka
 
Back
Top Bottom