Kuomba michango ya matibabu ni kero ni vyema kama vijana tukajitunza

Kuomba michango ya matibabu ni kero ni vyema kama vijana tukajitunza

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Prof. Janabi kila wakati anasisitiza juu ya mtindo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa yasiyoambukizwa ila watu tunachukulia poa.

Nina experience ya kuomba michango ya matibabu kwa ndugu, jamaa na marafiki ni miongoni mwa experience mbaya kuwahi kukutana nayo so far ni kero kwa muomba mchango na kwa mtoaji mchango.

Hakuna aijuaye kesho but kesho njema au mbaya ni matokeo ya leo.
 
Tunachofanya ni kuhakikisha tunapunguza athari hasi zitokanazo na mitindo mibovu ya maisha.

Ila kuhusu kuzuia ugonjwa ni swala ambalo lipo juu ya uwezo wetu

Ikiwa umeumwa au ndugu yako anaumwa kumchangaia ni muhimu usijitenge..
 
Prof. Janabi kila wakati anasisitiza juu ya mtindo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa yasiyoambukizwa ila watu tunachukulia poa.

Nina experience ya kuomba michango ya matibabu kwa ndugu, jamaa na marafiki ni miongoni mwa experience mbaya kuwahi kukutana nayo so far ni kero kwa muomba mchango na kwa mtoaji mchango.

Hakuna aijuaye kesho but kesho njema au mbaya ni matokeo ya leo.
Mkuu hata kama tungejitunza vizuri kiasi gani,as long as we're Human,ni lazima tuugue na tufe!

Suala la kutochangiwa na ndugu wakati unaugua nadhani ni ulimwenguni kote,mwanadamu yuko radhi asikuchangie wakati unaumwa ila akaja kutumia fedha nyingi kwenye msiba wako!,Hao ndiyo wanadamu!

Ndo maana tunashauriwa tuwe na Bima itakayotusaidia!
 
Back
Top Bottom