Kuomba nafasi ya kazi kwa aliyepata ajira serikalini kada ya maabara ya hospitali!!

Kuomba nafasi ya kazi kwa aliyepata ajira serikalini kada ya maabara ya hospitali!!

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Kama heading inavojieleza hapo juu mimi ni mtaalamu wa maabara, mwenye stashahada nilijaribu kurusha ndoana kwenye ajira za utumishi nikala ndoige ya kichwa kwa kupigwa NOT SELECTED

Sasa nimeona wanazengo wengi wakilamba asali kwenye pdf hizi za serikali hasa upande wa kada yangu ya maabara na nina amini wengine walikuwa wanafanya kazi sehemu hivyo wakiondoka nafasi hizo zitahitaji replacement.

Kwa unyenyekevu mkubwa nakuja mbele yenu mliolamba ajira za serikali mnapoondoka huko mlipo basi nafasi yenu niichukue naahidi kutoa mshahara wangu wote wa kwanza kama kuwashukuru.

Napatikana Dodoma mawasiliano yangu ni 0625263010 nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania maslahi yaanzie atleast 400k ninayo leseni full na iko active to practise.

Natanguliza shukrani wakuu.
 
Kwenye 400k wanaolipwa ni hisp za rufaa na Kanda kwa jina la volunteer.

Za 180-250 utapata
 
Kwenye 400k wanaolipwa ni hisp za rufaa na Kanda kwa jina la volunteer.

Za 180-250 utapata
Ok nashukuru kwa mwongozo mkuu wa wakuu

Means hata hizi polyclinic na private hospital wanachezea 180-250 hapo?
 
Ndiyo mkuu.
asee kumbe changamoto yaani hata hawa wanaofanya huko agakhan, rabinsia n.k kumbe ndio wanachezea 180-250

Mungu asaidie nije nipate serikalini miaka ijayo nikajua wanafika kwenye 400k
 
asee kumbe changamoto yaani hata hawa wanaofanya huko agakhan, rabinsia n.k kumbe ndio wanachezea 180-250

Mungu asaidie nije nipate serikalini miaka ijayo nikajua wanafika kwenye 400k
Kwa lab, co na nurses inawezekana
 
Hope utapata , two years ago nlikua broke like you, na nikiteseka kutafta Kazi(lab ) nashukuru nlilamba asali PSRS
 
Back
Top Bottom