Nyie wanaume mnaweza kubaki na mali zenu sasa? Yaani mnavyotubembelezaga tutumie hela zenu hadi huruma.
Unakuta kila siku mtu anakubembeleza akutoe dinner, mara ooh unapendelea zawadi gani, mara hiyo elfu 50 nunua bando.
Unamwambia mtu hutaki ila anaendelea kukulazimisha utumie hela zake.