Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Nimeona Waziri wa Fedha akisema tozo kwenye mabank wameziondoa na tozo walizoziondoa ni kama zifuatazo.
(i) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
(ii) Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
(iii) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Bado najiuliza za kwenye sim kwanini wameziacha ilihali huko ndo kuna watumiaji wa hali ya chini? Nani awasemehe watu wa hali chini? Mbona mnawatenga hivo?
(i) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
(ii) Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
(iii) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Bado najiuliza za kwenye sim kwanini wameziacha ilihali huko ndo kuna watumiaji wa hali ya chini? Nani awasemehe watu wa hali chini? Mbona mnawatenga hivo?