Kuondoa Tozo kwenye Mabenki huku mkiacha kweye Miamala ya Simu, ni unyonyaji

Kuondoa Tozo kwenye Mabenki huku mkiacha kweye Miamala ya Simu, ni unyonyaji

Pumbavu wewe acha kutuita majitu ya vijijini, acha dharau kwa kukaa mjini. Toa hoja kwa kuheshimu ambao hatujakukosea.
Technically majitu ya Vijijini akili hamna ndio maana nyie mnafanywa kuwa condom mnatumiwa kunenepesha matumbo ya mabwanyenye wa mjini na mnachekelea..

Na bado kwenye mazao mtaendelea kupangiwa Bei kwa faida ya wa mjini na huduma hampati ila umaskini utakuwa jadi yenu daima..
 
Tozo za bank zimeondolewa lini, leo tu nimepokea meseji ya makato kwenye account yangu, nimeuliza bank wanasema hawajapokea waraka wowote wa kusitisha kukata tozo, nchi ngumu hii jamani
Mpaka tarehe 1 October
 
Tozo za bank zimeondolewa lini, leo tu nimepokea meseji ya makato kwenye account yangu, nimeuliza bank wanasema hawajapokea waraka wowote wa kusitisha kukata tozo, nchi ngumu hii jamani
Mpaka October 1 ndio utekelezaji unaanza
 
Ndo maana nikasema awali anachofanya madelu ni kupiga porojo, hana jipya...
 
Tozo za bank zimeondolewa lini, leo tu nimepokea meseji ya makato kwenye account yangu, nimeuliza bank wanasema hawajapokea waraka wowote wa kusitisha kukata tozo, nchi ngumu hii jamani
Una akili yenye uwezo mdogo sana kama unayo, sijui ni ram ngapi tu….. tozo kuondoshwa leo tu utarajie utekelezaji kuanza leo?
 
Tozo za bank zimeondolewa lini, leo tu nimepokea meseji ya makato kwenye account yangu, nimeuliza bank wanasema hawajapokea waraka wowote wa kusitisha kukata tozo, nchi ngumu hii jamani
Hadi 1 oktoba 2022
 
Ipo hivi kuna principal mpya ya kodi nimeibuni inaitwa CHEAP TO IMPORT EXPENSIVE TO MAINTAIN.

Hii principal inafanya na tabia za watu.Kwenye expensive to maintain ndipo serikali inapopata mapato yake.IPo hivi.

Serikali iruhusu magari, pikipiki,bajaji yote yaingie free bila ushuru kutokana na tabia za watz kila mtu atataka kumiliki chombo cha moto iwe ni private au ya biashara kwa sababu wengi awafahamu hesabu.

Kodi ya serikali inapatikanaje

1. Kwenye usajili wa chombo cha moto badala ya laki 5 iwe milioni moja.
2. Mafuta
3. Bima za magari hapa zipande kidogo
4. Ushuru wa parking hapa kuanzia stand za mabus na barabara za mjini
5. Fine za traffic
6. Fire
7. Spare parts hizi ushuru upande kidogo
8. Ushuru wa barabara uwepo
9. Ushuru wa Usajili wa mamlaka husika mfano latra, dawasco, tbs, misitu,nk
10. Ongezea kodi zingine.

Hoja ya ant dumping. Hii ishu haina mashiko kwa ulimwengu wa SAsa sababu ya mambo ya recycling. KWA maana hata SAsa gari chakavu zote zinaenda screpa kisha zinarejeshwa nje ya nchi kama material za kuzalisha gari zingine.

Hoja ya foleni kwamba ohoo gari zitajazana mjini na kuleta msongamano,nani kakwambia magari yote yatabakia Dar.Kama hofu ya Dar, dar kuwepo na special number ijulikane hili gari matumizi yake si nje ya Dar, mikoani huko still foleni sio tatizo, na pia foleni inatatulika kwa kuongeza miundombinu. So pesa nyingi itapatikana kwenye uendeshaji wa gari.
Your theory is irrelevant
 
Nimeona Waziri wa Fedha akisema tozo kwenye mabank wameziondoa na tozo walizoziondoa ni kama zifuatazo.

(i) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

(ii) Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

(iii) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Bado najiuliza za kwenye sim kwanini wameziacha ilihali huko ndo kuna watumiaji wa hali ya chini? Nani awasemehe watu wa hali chini? Mbona mnawatenga hivo?

View attachment 2362429
Mbona tozo za kutoa hela kweye ATM na over the counter zimebaki? Huu ni usanii mtupu wananchi wangapi wanatransfer hela? Tumepigwa hamna kitu hapo
 
Hili taifa halina kiongozi ndio maana kina Mwigulu wanajiamulia watakavyo.
 
Nashauri.wawe pia wanaweka na makato yatakuaje ili kusud mtu anapofanya ajue.kujihamishia kutoka ac kwend line bei gan
Hawawezi kuweka kuogopa kupoteza wateja wakishajua ivyo, ndio maana wahindi wapo makini sana na nchi zetu za dunia ya tatu wanaweka ktk benk zao na sio wahindi wote ufanya ivyo

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ipo hivi kuna principal mpya ya kodi nimeibuni inaitwa CHEAP TO IMPORT EXPENSIVE TO MAINTAIN.

Hii principal inafanya na tabia za watu.Kwenye expensive to maintain ndipo serikali inapopata mapato yake.IPo hivi.

Serikali iruhusu magari, pikipiki,bajaji yote yaingie free bila ushuru kutokana na tabia za watz kila mtu atataka kumiliki chombo cha moto iwe ni private au ya biashara kwa sababu wengi awafahamu hesabu.

Kodi ya serikali inapatikanaje

1. Kwenye usajili wa chombo cha moto badala ya laki 5 iwe milioni moja.
2. Mafuta
3. Bima za magari hapa zipande kidogo
4. Ushuru wa parking hapa kuanzia stand za mabus na barabara za mjini
5. Fine za traffic
6. Fire
7. Spare parts hizi ushuru upande kidogo
8. Ushuru wa barabara uwepo
9. Ushuru wa Usajili wa mamlaka husika mfano latra, dawasco, tbs, misitu,nk
10. Ongezea kodi zingine.

Hoja ya ant dumping. Hii ishu haina mashiko kwa ulimwengu wa SAsa sababu ya mambo ya recycling. KWA maana hata SAsa gari chakavu zote zinaenda screpa kisha zinarejeshwa nje ya nchi kama material za kuzalisha gari zingine.

Hoja ya foleni kwamba ohoo gari zitajazana mjini na kuleta msongamano,nani kakwambia magari yote yatabakia Dar.Kama hofu ya Dar, dar kuwepo na special number ijulikane hili gari matumizi yake si nje ya Dar, mikoani huko still foleni sio tatizo, na pia foleni inatatulika kwa kuongeza miundombinu. So pesa nyingi itapatikana kwenye uendeshaji wa gari.
Wewe mafia sana wa financial services industry

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nimeona Waziri wa Fedha akisema tozo kwenye mabank wameziondoa na tozo walizoziondoa ni kama zifuatazo.

(i) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

(ii) Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

(iii) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Bado najiuliza za kwenye sim kwanini wameziacha ilihali huko ndo kuna watumiaji wa hali ya chini? Nani awasemehe watu wa hali chini? Mbona mnawatenga hivo?

View attachment 2362429
unataka dezo? Hutaki kuwajibika ila unataka ujengewe barabara nzuri. Ukitaka dezo nenda Mombasa. Jinga kweli mwanaume mzima hutaki kuwajibika ndio maana mnaolewa, ni kulalamika kila kitu. Kalipe kodi.
 
unataka dezo? Hutaki kuwajibika ila unataka ujengewe barabara nzuri. Ukitaka dezo nenda Mombasa. Jinga kweli mwanaume mzima hutaki kuwajibika ndio maana mnaolewa, ni kulalamika kila kitu. Kalipe kodi.
Nina mashakha na uelewa wako
 
Back
Top Bottom