Ipo hivi kuna principal mpya ya kodi nimeibuni inaitwa CHEAP TO IMPORT EXPENSIVE TO MAINTAIN.
Hii principal inafanya na tabia za watu.Kwenye expensive to maintain ndipo serikali inapopata mapato yake.IPo hivi.
Serikali iruhusu magari, pikipiki,bajaji yote yaingie free bila ushuru kutokana na tabia za watz kila mtu atataka kumiliki chombo cha moto iwe ni private au ya biashara kwa sababu wengi awafahamu hesabu.
Kodi ya serikali inapatikanaje
1. Kwenye usajili wa chombo cha moto badala ya laki 5 iwe milioni moja.
2. Mafuta
3. Bima za magari hapa zipande kidogo
4. Ushuru wa parking hapa kuanzia stand za mabus na barabara za mjini
5. Fine za traffic
6. Fire
7. Spare parts hizi ushuru upande kidogo
8. Ushuru wa barabara uwepo
9. Ushuru wa Usajili wa mamlaka husika mfano latra, dawasco, tbs, misitu,nk
10. Ongezea kodi zingine.
Hoja ya ant dumping. Hii ishu haina mashiko kwa ulimwengu wa SAsa sababu ya mambo ya recycling. KWA maana hata SAsa gari chakavu zote zinaenda screpa kisha zinarejeshwa nje ya nchi kama material za kuzalisha gari zingine.
Hoja ya foleni kwamba ohoo gari zitajazana mjini na kuleta msongamano,nani kakwambia magari yote yatabakia Dar.Kama hofu ya Dar, dar kuwepo na special number ijulikane hili gari matumizi yake si nje ya Dar, mikoani huko still foleni sio tatizo, na pia foleni inatatulika kwa kuongeza miundombinu. So pesa nyingi itapatikana kwenye uendeshaji wa gari.