Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Jamani Kiukweli babu alikua fundi wa kutisha pamoja na uchelsea wangu ila namkubali sana.
sasa ndo ivyo tena Ferg kaachia ngazi tutashuhudia vichapo mfululizo kwa man u next season na uhaba wa vikombe kama arsenal miaka 9 mfululizo,na migomo baridi ya wachezaji kwa kocha MOYES,si freemason kaondoka!! haa haa haa haa.im waiting to be insulted by man u fans.
sasa ndo ivyo tena Ferg kaachia ngazi tutashuhudia vichapo mfululizo kwa man u next season na uhaba wa vikombe kama arsenal miaka 9 mfululizo,na migomo baridi ya wachezaji kwa kocha MOYES,si freemason kaondoka!! haa haa haa haa.im waiting to be insulted by man u fans.