Kuondoka kwa Harmonize WCB tutegemee Mwisho wa Ali Kiba?

Wanajua kabsa mbwa kupanda juu n shuhuli pevu
Mkataba wake na WCB ulikuwa wa miaka 15 na masharti kibao. Tuombe Mungu avuke kizingiti hicho. Ndio maana mameneja wa WCB wanacheeeeeeeka
 
viewers walikua wangapi??
 
Kiba ameshapotea zamani tu,amebaki kupiga picha na sinia za pilau
 
Nyimbo 10 vs wimbo 1...QUALITY VS QUANTITY over.
 
200% true.
Alikiba aliishi kwa hisani ya wasiopenda maendeleo ya Diamond, nao sasa watahamishia majeshi kwa Harmonize
Ikumbukwe aliwepo kabla ya diamond ndo mtuambie sasa kipindi hicho alishabikiwa na wasiompenda nani?
 
Kah Ahsantee umekata kiu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…