Ulikuwa naye meza moja kujadili unayosema au hisia za kiutopoloMudi pamoja na kocha ndo wamewapiga saundi ujue mudi bahili sana alipoona Morroco wamepanda Dau na yeye Pesa zake anazipenda sana akala njama na kocha ili asionekane kama kashindwa kutoa pesa
Ila tuko kwenye makundi utopolo mko wapi ?[emoji23][emoji23][emoji23] taifa lilipata aibu ya kihistoriaView attachment 1673146
Hizo 5 ndo tuliwabeba kwa mbeleko mkaishi confideration hatua za mwanzo ila sisi hapo ilikuwa makundi tukawabeba mkazingua ,utopolo hamna haya hata kujadiliTunajikumbusha
Heri hamsa hatua za kimataifa wanaume wanapimana ubavu siyo dondo cupPunguza jaziba wewe utakula Hamsa wataka hutaki
Yanga imekuzidi kila kitu kwenye historia ya sokaHizo 5 ndo tuliwabeba kwa mbeleko mkaishi confideration hatua za mwanzo ila sisi hapo ilikuwa makundi tukawabeba mkazingua ,utopolo hamna haya hata kujadili
Come on brother yani Hilo nalo ni swali? Sijui Kwanza ata kama ulielewa, anyway mfano wewe umepata deal let's say mkoani Morogoro na ulikuwa kikazi Dar ila familia yako inaishi dodoma, umeondoka kazini kwako kwa zamani yani dar utapita Morogoro kusaini deal au uende Kwanza dodoma kwa familia yako then urudi Morogoro kusaini deal? Hivi nyie watu wa namna hii akili zenu mnatumia kuvukia barabara tu eti?Kwa nini hakwenda Belgium kwanza ndio arudi Morocco.
Huyu kijana kishingo ni muungwana sana , inasemekana angeamua kuongea ukweli Simba ingesambaratika
kila mtu anajua sababu ya kuachana na mpenzi wake ila kukwambia ukweli nn kilitokea ni wachache sana wanafanya hivo ..walio wengi imeisha hiyoBasi hata yeye mwenyewe alidanganya. Kwa mujibu wa caption yake Instagram alisema anataka kuwa karibu na familia yake.
Kwanini Sasa useme mo ndo kadanganya?? Je kama nayeye alidanganywa na kocha mwenyewe
amkeni wamefukuza kocha huku tena bwanahnilijua nipo fb nasoma ujinga wa huko. Kumbe ni JF,duh
hata uchebe aliyasemaga hayo mbona mapemaHuyu kijana kishingo ni muungwana sana , inasemekana angeamua kuongea ukweli Simba ingesambaratika
uko sawa lakini mpira wetu na ushabiki ni wa kishamba kama wa harmonize usisahauMungu Mbariki Kocha Shujaa aliyewahi kuwafundisha Utopolo aitwae Eymael kwa kauli yake ya kuwa "WASHABIKI WA YANGA NI UNEDUCATED" Yani mmoja wao ni huyu mleta Uzi.
Imagine Kocha kautangazia/Kaudanganya Umma kuwa amesitisha Mkataba wake na Simba kwa Matatizo ya Kifamilia then anaibuka Uto anasema MO kadanganya.
Uhusiano wa kimapenzi na uhusiano wa kikazi(Mtu na mwajiri wake) vinalingana kwa mizani IPI??kila mtu anajua sababu ya kuachana na mpenzi wake ila kukwambia ukweli nn kilitokea ni wachache sana wanafanya hivo ..walio wengi imeisha hiyo
Sijui wewe ni Utopolo tukuache au tukueleweshe, .Habari wakubwa
Moja moja twende kwenye fact awali kulikua na sinto fahamu juu ya kuondoka kwa Seven msemo wa "time will tell" umekuja na majibu kamili
Awali imeripotiwa aliondoka kwasababu matatizo ya kifamilia mambo hadharani hakuna kigugumizi Tena kwenye hili Donge Nono alilolipata Morocco kwenye Club ya FAR RABAT ndo limemkimbiza Simba
View attachment 1672994
Mo aweke Bilion zetu 20 mezani hii aibu ya mwaka hatutaki Tena bla bla bla!!!!
unaelewa umuhimu wa mtu kuondoka kwasababu fulani?Come on brother yani Hilo nalo ni swali? Sijui Kwanza ata kama ulielewa, anyway mfano wewe umepata deal let's say mkoani Morogoro na ulikuwa kikazi Dar ila familia yako inaishi dodoma, umeondoka kazini kwako kwa zamani yani dar utapita Morogoro kusaini deal au uende Kwanza dodoma kwa familia yako then urudi Morogoro kusaini deal? Hivi nyie watu wa namna hii akili zenu mnatumia kuvukia barabara tu eti?...
Fanya kazi hizo 20M sio za kugawana mashabiki kkHapa naungana na wewe
Mudi Janja janja sana
TUNATAKA 20BIRUWON YETU