Pre GE2025 Kuondoka kwa Lissu CHADEMA baada ya kushindwa Uenyekiti kwa fedheha kutakifanya chama kuwa imara zaidi

Pre GE2025 Kuondoka kwa Lissu CHADEMA baada ya kushindwa Uenyekiti kwa fedheha kutakifanya chama kuwa imara zaidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni mjinga pekee ambaye bado atakua na imani na chedema..
 
Hivi umehesabu una post ngapi za uzushi mwezi huu kuhusu CHADEMA na viongozi wake na zote zimefemea?😂
Gentleman,
waelezee wadau vizuri na kwa weledi kuhusu uwazi na ukweli dhidi ya kila mawazo, maoni na hoja ninazo washirikisha wadau humu jukwaani,

huna haja ya kupotosha wadau 🐒
 
Infact,

Itakua ni mwisho wa unafiki, migawanyiko, chuki binafsi, tamaa ya madaraka na vita ya maneno miongoni mwa viongozi wake waandamizi na miongoni mwa wanachadema kwa ujumla.

Itakua ni mwanzo wa chadema mpya, moja na yenye ushawishi wa hoja badala ya makelele, kujipa umuhimu na kuzushiana tuhuma na mambo ambayo hayana ushahidi wala uthibitisho.

Kiufupi CHADEMA itakua imepata ahuweni kubwa na muhimu sana kisiasa kwa kujitua mzigo mzito wa viongozi wasio na shukrani, ambapo Chadema imeteseka kuwabeba kwa kipindi kirefu sana.

Hata hivyo,

wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa CHADEMA wamejipanga kuinusuru CHADEMA Taifa kutumbukia kwenye mikono ya mabwenyenye ya magharibi kupitia kibaraka wao mwenye tamaa, mdomo na makelele mengi yasio na mpangilio 🐒

Soma Pia:
Kila la kheri Yanga Africa dhidi ya Fountain Gate FC.

Mungu Ibariki Tanzania.
LISSU HAONDOKI CHADEMA
 
actually,
itakua ndio mwisho wa unafiki, mdomo na makelele yake right?🐒
Mkuu punguza chuki na uongo. Lissu akiondoka CHADEMA, sio hoja kwamba chama kitakuwa imara.
 
Mungu akupatie akili na kama wewe pia akupe kumbusho la milele
Nakuombea Neema na Baraka za Mungu,
daima, akuepushe na mihemko na ujuaji kupitiliza, usiwe manafiki mwenye mdomo na makelele kama kibaraka 🐒
 
Kuondoka kwako duniani kabla ya 2025 kutaifanya Tanzania kupunguza wajinga. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Tuliza mihemko na makasiriko,
Mungu akujalie utulivu wa fikra, Aimen 🙏
 
muerevu umbaki na mihemko pekee bila point,

sifahamu wadau watakusaidiaje sasa gentleman?🐒
Yaani unakaa kabisa na akili zako unawaza kwamba siku moja mtakuja kuongoza nchi? Hayo mnayoyahubiri wenyewe hamyaishi.
 
Chama kitaaminika zaidi na zaidi na tutegemee wana CCM makini kuomba uanachama CDM kabla ya 2025.

Maana inawezekwna kabisa kuwaondoa CCM madarakani bila hata kumwaga damu kitu ambacho kambi ya Lissu haitaki kuamini.
 
Yaani unakaa kabisa na akili zako unawaza kwamba siku moja mtakuja kuongoza nchi? Hayo mnayoyahubiri wenyewe hamyaishi.
hebu tafadhali elezea kwa utulivu kwa faida ya wadau,

unasemaje eti gentleman?🤣
 
Infact,

Itakua ni mwisho wa unafiki, migawanyiko, chuki binafsi, tamaa ya madaraka na vita ya maneno miongoni mwa viongozi wake waandamizi na miongoni mwa wanachadema kwa ujumla.

Itakua ni mwanzo wa chadema mpya, moja na yenye ushawishi wa hoja badala ya makelele, kujipa umuhimu na kuzushiana tuhuma na mambo ambayo hayana ushahidi wala uthibitisho.

Kiufupi CHADEMA itakua imepata ahuweni kubwa na muhimu sana kisiasa kwa kujitua mzigo mzito wa viongozi wasio na shukrani, ambapo Chadema imeteseka kuwabeba kwa kipindi kirefu sana.

Hata hivyo,

wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa CHADEMA wamejipanga kuinusuru CHADEMA Taifa kutumbukia kwenye mikono ya mabwenyenye ya magharibi kupitia kibaraka wao mwenye tamaa, mdomo na makelele mengi yasio na mpangilio 🐒

Soma Pia:
Kila la kheri Yanga Africa dhidi ya Fountain Gate FC.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ashiii😬😬, ulivyoandika nilidhani mwamba kishaondoka.
 
Infact,

Itakua ni mwisho wa unafiki, migawanyiko, chuki binafsi, tamaa ya madaraka na vita ya maneno miongoni mwa viongozi wake waandamizi na miongoni mwa wanachadema kwa ujumla.

Itakua ni mwanzo wa chadema mpya, moja na yenye ushawishi wa hoja badala ya makelele, kujipa umuhimu na kuzushiana tuhuma na mambo ambayo hayana ushahidi wala uthibitisho.

Kiufupi CHADEMA itakua imepata ahuweni kubwa na muhimu sana kisiasa kwa kujitua mzigo mzito wa viongozi wasio na shukrani, ambapo Chadema imeteseka kuwabeba kwa kipindi kirefu sana.

Hata hivyo,

wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa CHADEMA wamejipanga kuinusuru CHADEMA Taifa kutumbukia kwenye mikono ya mabwenyenye ya magharibi kupitia kibaraka wao mwenye tamaa, mdomo na makelele mengi yasio na mpangilio 🐒

Soma Pia:
Kila la kheri Yanga Africa dhidi ya Fountain Gate FC.

Mungu Ibariki Tanzania.

Huyu
Mama chawa😂😂 nani kasema ataondoka kwenda wapi CCM🤮
 
Infact,

Itakua ni mwisho wa unafiki, migawanyiko, chuki binafsi, tamaa ya madaraka na vita ya maneno miongoni mwa viongozi wake waandamizi na miongoni mwa wanachadema kwa ujumla.

Itakua ni mwanzo wa chadema mpya, moja na yenye ushawishi wa hoja badala ya makelele, kujipa umuhimu na kuzushiana tuhuma na mambo ambayo hayana ushahidi wala uthibitisho.

Kiufupi CHADEMA itakua imepata ahuweni kubwa na muhimu sana kisiasa kwa kujitua mzigo mzito wa viongozi wasio na shukrani, ambapo Chadema imeteseka kuwabeba kwa kipindi kirefu sana.

Hata hivyo,

wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa CHADEMA wamejipanga kuinusuru CHADEMA Taifa kutumbukia kwenye mikono ya mabwenyenye ya magharibi kupitia kibaraka wao mwenye tamaa, mdomo na makelele mengi yasio na mpangilio [emoji205]

Soma Pia:
Kila la kheri Yanga Africa dhidi ya Fountain Gate FC.

Mungu Ibariki Tanzania.
Hakika uchawa ni kazi ngumu sana
 
Back
Top Bottom