and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Sponsor katumbuliwaMbona umeandika kiduchu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sponsor katumbuliwaMbona umeandika kiduchu.
Hata mimi nimeshangaa kuondolewa PSSSF! Hakika amefanya kazi nzuri sana kupita viwango vya watendaji wengi wa serikali.Tarehe 6/2/2024 lilitolewa tangazo la mabadiliko katika uongozi wa mashirika kadhaa likiwemo hilo lililotajwa hapo juu.
Hilo shirika hapo nyuma lilikuwa na historia ya kutofanya vizuri katika majukumu yake mpaka pale ndugu HOSEA KASHIMBA alipoteuliwa kuliongoza shirika hilo.
Malalamiko ya malipo ya wanachama yalifanyiwa kazi na gharama za uendeshaji wa shirika zilipungua sana.
Naandika kuhusu bwana Kashimba kwasababu namfahamu kama mtu mmoja nadra sana kumpata hapa nchini; he is very intelligent, knowledgeable, calm and respectful. He is a real patriotic finance professional.
Unless Samia ameshauriwa kumuondoa hapo na kumpa kazi sehemu nyingine challenging , nchi itakuwa imepoteza huduma za mtu makini sana kwenye mambo ya fedha! Kwa watu wasiojua, huyu bwana Hosea Kashimba has played a big role towards the good performance of CRDB as a member of their board of directors and chairman of their Audit committee!
Huyu bwana ni tunu ambayo nchi haina budi kuitumia vizuri.
Nimeamdika hivi kwa kujua kuwa kuna watu wengi wanakuwa victims wa majungu ili watu wao wateuliwe ili waweze kwenda kula ni sio kufanya kazi. I sincerely hope Hosea Kashimba is not going to be wasted.
Inategemea ni wa namna gani na analalamika kwa nani? Wengi wao wana influence kwa mama Abdul!Unaamini kila mzanzibari akilalamika maamuzi yanatolewa?
Mmoja ameona ateme yai 😂Hapa nakaa naona Pana vita huwa napeenda intellectual wars.
Lakini mmoja Katema yai viza! Ndio maana alipoambiwa hana ufahamu wa kutofautisha kati ya kamati ya utendaji na kamati ya board ya wakurugenzi kwenye benki akakimbia!!Mmoja ameona ateme yai 😂
Mwenzie naye kamtemea yai🤣
Haya mambo yanataka kujirudia rudia! Vijana wa miaka Hii Inawezekana wasikimbuke; wakati wa utawala wa Kikwete mfuko wa hifadhi ya wafanyakazi NssF enzi hizo chini ya uongozi wa Ramadhan Kitwana Dau, mfuko ulifilisika kwa fedha za wafanyakazi kutumiwa vibaya!! Ccm walihusika moja kwa moja la ufisadi wa Nssf ambao baadae ilileta mateso makubwa kwa wafanyakazi pale walipodai mafao yao lakini shirika likawa halina fedha.Kama ni mzalendo sana atakuwa alikuwa kikwazo kwenye ukwapuaji wa mizigo hapo psssf. Na ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi 2025
Tanzania imejaa watawala na machawa kila kona.Tarehe 6/2/2024 lilitolewa tangazo la mabadiliko katika uongozi wa mashirika kadhaa likiwemo hilo lililotajwa hapo juu.
Hilo shirika hapo nyuma lilikuwa na historia ya kutofanya vizuri katika majukumu yake mpaka pale ndugu HOSEA KASHIMBA alipoteuliwa kuliongoza shirika hilo.
Malalamiko ya malipo ya wanachama yalifanyiwa kazi na gharama za uendeshaji wa shirika zilipungua sana.
Naandika kuhusu bwana Kashimba kwasababu namfahamu kama mtu mmoja nadra sana kumpata hapa nchini; he is very intelligent, knowledgeable, calm and respectful. He is a real patriotic finance professional.
Unless Samia ameshauriwa kumuondoa hapo na kumpa kazi sehemu nyingine challenging , nchi itakuwa imepoteza huduma za mtu makini sana kwenye mambo ya fedha! Kwa watu wasiojua, huyu bwana Hosea Kashimba has played a big role towards the good performance of CRDB as a member of their board of directors and chairman of their Audit committee!
Huyu bwana ni tunu ambayo nchi haina budi kuitumia vizuri.
Nimeamdika hivi kwa kujua kuwa kuna watu wengi wanakuwa victims wa majungu ili watu wao wateuliwe ili waweze kwenda kula ni sio kufanya kazi. I sincerely hope Hosea Kashimba is not going to be wasted.
Kamati za bodi hazifanyi kazi yoyote isipokuwa kupokea ripoti za kamati tendaji na kuandaa taarifa inayopitishwa na bodi. Bodi ni kama ilivyo kwa chancellor wa chuo, yupo pale kiprotokali lakini kazi inafanywa na vice chancellor.Kama unafanya kazi benki unatakiwa Ufukuzwe mara moja kwa kukosa umakini! Huna uwezo wa kutofautisha kati ya kamati za utendaji na kamati za BODI ya wakutugenzi!
Hao wastaafu wanatapeliwaje?PSSSF chini ya Kashimba ilijaa wafanyakazi wezi na matapeli.
Wanatumia taarifa za ofisi kuwatapeli wastaafu.
Ombi kwa Badru ayafanyie kazi malalamiko ya watu,hicho kitengo cha Huduma kwa wateja wanashirikiana na watu wa nje kutapeli wastaafu.
Afadhali ukae kimya unazidi kujidhalilisha! Kama hazifanyi kazi yeyote kwanini ziko kisheria?Kamati za bodi hazifanyi kazi yoyote isipokuwa kupokea ripoti za kamati tendaji na kuandaa taarifa inayopitishwa na bodi. Bodi ni kama ilivyo kwa chancellor wa chuo, yupo pale kiprotokali lakini kazi inafanywa na vice chancellor.
Bulesi endelea mkuu,Lakini mmoja Katema yai viza! Ndio maana alipoambiwa hana ufahamu wa kutofautisha kati ya kamati ya utendaji na kamati ya board ya wakurugenzi kwenye benki akakimbia!!
Pamoja na kutokujua kwake, wachawa wamelundika “!ikes” kibao kwenye majibu yake viza!
Tuma kwenye Namba hiiHao wastaafu wanatapeliwaje?
Hebu weka wazi ili iwe elimu, tahadhari na msaada kwa wastaafu wengine.
Kivipi?Tuma kwenye Namba hii
PSSSF chini ya Kashimba ilijaa wafanyakazi wezi na matapeli.
Wanatumia taarifa za ofisi kuwatapeli wastaafu.
Ombi kwa Badru ayafanyie kazi malalamiko ya watu,hicho kitengo cha Huduma kwa wateja wanashirikiana na watu wa nje kutapeli wastaafu.
Wanatumia taarifa hizo in collaboration na wastaafu halafu wanawatapeli au wanatumia hizo taarifa wao wenyewe wafanyakazi bila kuwahusisha wanachama wahusika?Kivipi?
Hapo taarifa za mwanachama zinahusishwaje?
Soma maelezo ya huyu mdau.👇
Wamenifurahisha sana hawa vibopaMmoja ameona ateme yai 😂
Mwenzie naye kamtemea yai🤣
Inategemea na sehemu anayoabudiaTarehe 6/2/2024 lilitolewa tangazo la mabadiliko katika uongozi wa mashirika kadhaa likiwemo hilo lililotajwa hapo juu.
Hilo shirika hapo nyuma lilikuwa na historia ya kutofanya vizuri katika majukumu yake mpaka pale ndugu HOSEA KASHIMBA alipoteuliwa kuliongoza shirika hilo.
Malalamiko ya malipo ya wanachama yalifanyiwa kazi na gharama za uendeshaji wa shirika zilipungua sana.
Naandika kuhusu bwana Kashimba kwasababu namfahamu kama mtu mmoja nadra sana kumpata hapa nchini; he is very intelligent, knowledgeable, calm and respectful. He is a real patriotic finance professional.
Unless Samia ameshauriwa kumuondoa hapo na kumpa kazi sehemu nyingine challenging , nchi itakuwa imepoteza huduma za mtu makini sana kwenye mambo ya fedha! Kwa watu wasiojua, huyu bwana Hosea Kashimba has played a big role towards the good performance of CRDB as a member of their board of directors and chairman of their Audit committee!
Huyu bwana ni tunu ambayo nchi haina budi kuitumia vizuri.
Nimeamdika hivi kwa kujua kuwa kuna watu wengi wanakuwa victims wa majungu ili watu wao wateuliwe ili waweze kwenda kula ni sio kufanya kazi. I sincerely hope Hosea Kashimba is not going to be wasted.
Lakini mmoja Katema yai viza! Ndio maana alipoambiwa hana ufahamu wa kutofautisha kati ya kamati ya utendaji na kamati ya board ya wakurugenzi kwenye benki akakimbia!!
Pamoja na kutokujua kwake, wachawa wamelundika “!ikes” kibao kwenye majibu yake viza!
Tunawafuatilia, endeleeniYou are a certified idiot, proclaiming things you know nothing about.
Unabisha ili uzi uendelee. Sasa sikiliza mimi nimekaa kwenye working committees na steering committees za kwenye hizo benki mbili ndio maana nakuona unaongea mambo usiyofahamu.Afadhali ukae kimya unazidi kujidhalilisha! Kama hazifanyi kazi yeyote kwanini ziko kisheria?