Kuongea kwa kukandamiza siyo ushamba bali KARAMA hivyo WASUKUMA tueleweke vyema

Kuongea kwa kukandamiza siyo ushamba bali KARAMA hivyo WASUKUMA tueleweke vyema

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe kwenu watanzania wote

Kumeibuka tabia ya watu wengi kutokujua ni nini maana ya ushamba, na hii yote inachangiwa na watu kutokuwa na elimu vyema , hasa ukizingatia kuwa CCM wamewanyima watanzania elimu iliyo bora ili waendelee kuwatawala inavyotakiwa yaan kisawa sawa

Watanzania wengi wameshindwa kabisa kutofautisha baina ya KARAMA na USHAMBA, kitu ambacho kimewafanya wengi wao kukimbia kwao kukimbia makabila yao na kuogopa kabisa kujitambulisha kuwa wao ni wanatokea wapi, na wengi wao kuficha hata lafudhi zao ili wasijulikane wanakotokea, maana wengi huzan watasemwa kuwa ni washamba

Hii yote imesabishwa na ukosefu wa elimu na kujitambua kitu ambacho wasukuma NGOSHAS tumekikataa katakataa na hatumo kwenye huo upuuzi wa kuficha lafudhi zetu na kukataa kabila letu

Watanzania wengi sasa hivi huzunguma kibubai Dubai, kimarekan marekan ili waonekane wajanja pasipo kujua kabisa kuwa wanacho fanya ni upuuzi na upotovu na makufuru mbele ya MUNGU muumbaji

Akija hapa mnaigeria , au mkenya au mganda au mwarabu au mrundi akianza tu kuzungumza moja kwa moja utajua kuwa huyu ni mnaigeria huyu ni mwarabu huyu ni mkenya, kwa maana ya rafudhi ya asili aliyopewa na MUNGU ALIYE JUU SANA lakini wabongo wengi elimu hii hawana hivyo wamekuwa wakiiga kuzungumza kimarekan kidubai Dubai na kihindi hindi

Basi ijulikane kuwa wasukuma sisi kukandamiza ni KARAMA AMBAYO MUNGU BABA KATUPA KAMA ZAWADI YA ASILI YA MILELE , NA NI KARAMA YA MAMLAKA

MUNGU ALIYE JUU SANA WELELO NTEMI WISE APOKEE SIFA MILELE

SEBHA AKUJIWE
 
Wanaume wengi wanaongea sauti za kike kile ndogooo
1. Huenda lishe , wana energy kidogo mwilini
2. Hormoni za kiume zimebaki na wasukuma na nguvu za kiume pia ndio maana wanazaa watoto 12 ukosefu wa hormone za kiume hupelekea sauti za kike kama sufuriani.
Ukitaka kujua na kuamini angalia mwanaume anapo balehe na binti pia
 
Wanaume wengi wanaongea sauti za kike kile ndogooo
1. Huenda lishe , wana energy kidogo mwilini
2. Hormoni za kiume zimebaki na wasukuma na nguvu za kiume pia ndio maana wanazaa watoto 12 ukosefu wa hormone za kiume hupelekea sauti za kike kama sufuriani.
Ukitaka kujua na kuamini angalia mwanaume anapo balehe na binti pia
Tuwaombee wajitambue hawa vijana daslama
 
20250210_102404.jpg
 
Amani iwe kwenu watanzania wote

Kumeibuka tabia ya watu wengi kutokujua ni nini maana ya ushamba, na hii yote inachangiwa na watu kutokuwa na elimu vyema , hasa ukizingatia kuwa CCM wamewanyima watanzania elimu iliyo bora ili waendelee kuwatawala inavyotakiwa yaan kisawa sawa

Watanzania wengi wameshindwa kabisa kutofautisha baina ya KARAMA na USHAMBA, kitu ambacho kimewafanya wengi wao kukimbia kwao kukimbia makabila yao na kuogopa kabisa kujitambulisha kuwa wao ni wanatokea wapi, na wengi wao kuficha hata lafudhi zao ili wasijulikane wanakotokea, maana wengi huzan watasemwa kuwa ni washamba

Hii yote imesabishwa na ukosefu wa elimu na kujitambua kitu ambacho wasukuma NGOSHAS tumekikataa katakataa na hatumo kwenye huo upuuzi wa kuficha lafudhi zetu na kukataa kabila letu

Watanzania wengi sasa hivi huzunguma kibubai Dubai, kimarekan marekan ili waonekane wajanja pasipo kujua kabisa kuwa wanacho fanya ni upuuzi na upotovu na makufuru mbele ya MUNGU muumbaji

Akija hapa mnaigeria , au mkenya au mganda au mwarabu au mrundi akianza tu kuzungumza moja kwa moja utajua kuwa huyu ni mnaigeria huyu ni mwarabu huyu ni mkenya, kwa maana ya rafudhi ya asili aliyopewa na MUNGU ALIYE JUU SANA lakini wabongo wengi elimu hii hawana hivyo wamekuwa wakiiga kuzungumza kimarekan kidubai Dubai na kihindi hindi

Basi ijulikane kuwa wasukuma sisi kukandamiza ni KARAMA AMBAYO MUNGU BABA KATUPA KAMA ZAWADI YA ASILI YA MILELE , NA NI KARAMA YA MAMLAKA

MUNGU ALIYE JUU SANA WELELO NTEMI WISE APOKEE SIFA MILELE

SEBHA AKUJIWE
sawa sasa kwanini mnaongea kwa sauti kubwa kama mpo. pekee yenu? au ndo karama zenyewe?
 
Back
Top Bottom