Sio tu ya fisi mpaka ya bibi yako na ya kwako mwenyewe wanakula.Kumbe wanakula matako ya fisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu ya fisi mpaka ya bibi yako na ya kwako mwenyewe wanakula.Kumbe wanakula matako ya fisi?
Ni karama yetuUchafu ni tabia ya wasukuma?
Mzungu ama mhindi siyo kipimo cha kila jambo. Amka!Ushawahi sikia mzungu au muhindi akiwa anaongea kiswahili.
Ni ushamba tu.Mnaongea kama mnang'oa visiki au magugu?Hoyee
Watu wajue KARAMA siyo ushamba
Kupata watoto 12+ siyo nguvu.Ni "umaraiya"/tamaa ya ngono kupitiliza na kutojua kupanga uzazi.Wanaume wengi wanaongea sauti za kike kile ndogooo
1. Huenda lishe , wana energy kidogo mwilini
2. Hormoni za kiume zimebaki na wasukuma na nguvu za kiume pia ndio maana wanazaa watoto 12 ukosefu wa hormone za kiume hupelekea sauti za kike kama sufuriani.
Ukitaka kujua na kuamini angalia mwanaume anapo balehe na binti pia
Wanaitwa wasugunsu au washosha ng'ombe.Kwetu usukuma ni kielelezo cha ushamba. Ukiambiwa nguo yako ya kisukuma, hiyo vita ni kubwa. Nimeandika uhalisi wa huko kwetu
Una moja kati ya hayaKupata watoto 12+ siyo nguvu.Ni "umaraiya"/tamaa ya ngono kupitiliza na kutojua kupanga uzazi.