Kuongea kwa kukandamiza siyo ushamba bali KARAMA hivyo WASUKUMA tueleweke vyema

Mkipunguza ujuaji na kujipa muda wa kusikiliza ili mjifunze itawasaidia, msukuma ni mbishi na ndio maana anakazia na kupaza sauti kila akiongea, kwa nini hamjifunzi kutoka kwa wachaga? 😂
 
Kupata watoto 12+ siyo nguvu.Ni "umaraiya"/tamaa ya ngono kupitiliza na kutojua kupanga uzazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…