Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Mkuu sawa endeleeni kuwa wabishiMizimu na maendeleo wapi na wapi kama wao walishindwa maisha wanamsaada gani kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sawa endeleeni kuwa wabishiMizimu na maendeleo wapi na wapi kama wao walishindwa maisha wanamsaada gani kwetu
Hapana wakat unatoka pale makaburin ndio uruusiw kuongea na mtu wowote.Kwamba usiongee na mtu yeyote sikiu3?
Africa bongo lala kweli😂😂 kwaiyo baba/mama/bibi/Babu 👴🏾👴🏾 Yako baada ya kufa unawaita majini?Acha ushirikina hizo ni ibada za kishetani(majini)
Kongowe kwako 👏🏾👏🏾👏🏾Yeah ushirikina uo mkuu kama ilivyo kanisani na misikitini pote ni washirikina u know that?
Kabisa mkuuHii ndio Mila na desturi yetu shida dini za watu weupe zishatuvuruga
Vijana wa mambo Leo hawawez kukuelewa apaMsidharau hili jambo lina nguvu sana ukifanya kwa usahihi.
Usiku Tena kiaje mkuu🤷🏽♂️😂Usiku tena Usiku wa Manane!!
Washindwe kujisaidia wasife wakusaidie wewe baada ya kufa Upuuzi, Ina maana mababu wote kabla hawajafa hawana matatizo? Kila siku mjukuu wangu Nina shida nisaidie, alafu akifa yeye ndo anasaidia watu!!!!! Dah Dunia tamu sana, huo ni ushirikina na ni kazi ya mashetani, Kaa mbali Mwabudu Allah pekee yake.Tafuta vyakula alivyopenda kula na vinywaji alivyopendelea wakati wa uhai wake huyo marehemu.
Nenda makaburini tafuta nafasi nzuri ya kukaa hakikisha uko peke yako na huonekani na watu. Ksha mwaga kile chakula alichopenda marehem au mzimu unaouita ,sema hivi we fulani weka jina lake mimi fulani nimekuja kukusalimia nimekuletea na chakula na vyakula na vinywaji unavyovipenda.
Pia nimekuletea na kinyaji chako pendwa kisha kimwage.
Kama alikuwa ni Babu,Bibi,Mama au Baba mwite kwa cheo chake mwambie shida zako zote kisha mwambie aingilie kati akusahidie maana wao wanauwezo mkubwa kushinda wewe uliyeduniani kama ni jambo ambalo ulitaka wakuonyeshe wakaribishe waje usingizini wakuonyeshe njia za kuyatatua au wakusahidie wao moja kwa moja.
Ukimaliza hapo washa mshumaa mwekundu na mweupe na udi. Ukimaliza wacha vile vitu pale na uondoke urudi kwako bila ya kuangalia nyuma wala kuongea na mtu njiani hivyo kama ulienda na bodaboda au watu wapange mapema kuwa ukirudi wasikusemeshe.
Ukifika nyumbani tandika shuka la jadi kama ni la kimasai au la kigogo chini na ulale ndani ya siku 3 lazima huo mzimu ukutokee na kukupa msahada. Kumbuka ndani ya siku 3 usifanye zinaa yeyote na husioge ili husipoteze ile nishati uliyotoka nayo kwenye tambiko.
Fanya hivyo ni uhakika kabisa.
By magical power
Bado una elimu ya ulimwengu wa roho mkuuWashindwe kujisaidia wasife wakusaidie wewe baada ya kufa Upuuzi, Ina maana mababu wote kabla hawajafa hawana matatizo? Kila siku mjukuu wangu Nina shida nisaidie, alafu akifa yeye ndo anasaidia watu!!!!! Dah Dunia tamu sana, huo ni ushirikina na ni kazi ya mashetani, Kaa mbali Mwabudu Allah pekee yake.
Wewe ndo unaona bado endelea kuona hivyoBado una elimu ya ulimwengu wa roho mkuu
Shetani (Majini) Sifa yao kubwa ni ma deceivers wazuri kaa ukilijua Hilo Hao wafu mnaowaomba hawana uwezo wowote wa kunufaisha Wala kudhuruAfrica bongo lala kweli😂😂 kwaiyo baba/mama/bibi/Babu 👴🏾👴🏾 Yako baada ya kufa unawaita majini?
Nimeipenda hiiAcha ushirikina hizo ni ibada za kishetani(majini)
Mkwawa alisalitiwa na mtu wake aliyemwamini huyu alikuwa toka Tabora.Ingekuwa rahisi hivyo,tungeshinda vita vya majimaji
Bado ujanijibu zaidi umetoa maelezo badala ya kunipa jibuShetani (Majini) Sifa yao kubwa ni ma deceivers wazuri kaa ukilijua Hilo Hao wafu mnaowaomba hawana uwezo wowote wa kunufaisha Wala kudhuru