Kuongea na mababu na mabibi zako waliotangulia mbele za haki

Hao mababu walishindwa maisha yao hawakuishi enzi ya technology watakusaidia nini.
Adui mkubwa wa mwanadamu ni mawazo akili ondoa mental block uyaone maisha kwenye mwanga bora
 
Washindwe kujisaidia wasife wakusaidie wewe baada ya kufa Upuuzi, Ina maana mababu wote kabla hawajafa hawana matatizo? Kila siku mjukuu wangu Nina shida nisaidie, alafu akifa yeye ndo anasaidia watu!!!!! Dah Dunia tamu sana, huo ni ushirikina na ni kazi ya mashetani, Kaa mbali Mwabudu Allah pekee yake.
 
Bado una elimu ya ulimwengu wa roho mkuu
 
Africa bongo lala kweli😂😂 kwaiyo baba/mama/bibi/Babu 👴🏾👴🏾 Yako baada ya kufa unawaita majini?
Shetani (Majini) Sifa yao kubwa ni ma deceivers wazuri kaa ukilijua Hilo Hao wafu mnaowaomba hawana uwezo wowote wa kunufaisha Wala kudhuru
 
Kila mizimu Ina codes zao za kuiamsha,kufanya hivyo kunaweza kukuletea mambo mazito kwenye maisha yako,ukiiita roho yoyote kwenye ulimwengu wa giza ni lazima ujue codes za kuirudisha ilipotoka,,vinginevyo utapata matatizo makubwa,pengine hata kuchizika au Kuna wafu
 
Mkisikia watu wanakumbwa na mapepo machafu ndio kama hivi sasa.
 
Shetani (Majini) Sifa yao kubwa ni ma deceivers wazuri kaa ukilijua Hilo Hao wafu mnaowaomba hawana uwezo wowote wa kunufaisha Wala kudhuru
Bado ujanijibu zaidi umetoa maelezo badala ya kunipa jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…