Kuongea na mababu na mabibi zako waliotangulia mbele za haki

Sahoyo nga inde mboka na wari tamieni na vashiki vafo myle na m-nywe mtatuinge bangara,

Ndeeni mbora kunu kaa! kwa vana VA motu foo mwai, kasini, vafungulieni mko tsa besa ....... tamieni vose mseke na vanamayo....

Nife Mangi Ruwa nja mbombe.... Tpuu tpuuu tpuu tuinge na safo mbora
 
Eti waliotangulia mbele za haki, huko mbele za haki ni kwa Allah na Allah hataki hyo mambo kwake Atakuadhibu kwa kufanya ushirikina, kama unaamni mbele ya haki kupo huko no kwa Allah na hayo mambo hataki Acha ndugu ushirikina, swali je na wewe ukifa wajukuu zako utakuwa unawasaidia ukiwa umekufa?
 
Upunguni wa hali ya juu sana. Hakuna ushirikiano kati ya wafu na walio hai. Mtu akifa amekufa, hayo majitu ni mapepo yenye sura ya binadamu.
 
A'buda Allahu kaanka tarahu failam yantan tarah fainahu yaraka.
 
Nilitaka nikaongee nao lakini kuna vitu vitanishinda 😅😅kwenye chakula sawa ila kwingine kugumu sana.
 
Kongowe kwako 👏🏾👏🏾👏🏾
Wengi awajui Nini maana ya ushirikina ndio shida hilipo, ndio maana tukiwambiwa makanisani na misikitini pia ni washirikina wanakataa
Pote huko ni washirikina kwakuwa wanashiriki katika dini hizo,

Ni simple tu lakini mjinga awezi elewa.
 
Huyo babu au bibi wa kale ana lipi la msaada zaidi ya kukupigia stori za soga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…