Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hongera Spika Tulia Akson kwa kukemea jambo hili, mtu anaingia Bungeni anaanza kuongea na simu ni ushamba, pumbavu kabisa, wasichaguliwe Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majinga kabisaHalafu wao wanaona sifa.
Kwani waliwahi kuchaguliwa?Hongera Tulia Akson kwa kukemea jambo hili,mtu anaingia Bungeni anaanza kuongea na simu ni ushamba,pumbavu kabisa,wasichaguliwe Tena.
Nadhani!Kwani waliwahi kuchaguliwa?
BungeHivi Tanzania tuna Bunge au genge
WahuniBunge
Kuna Bonge la Wabonge ndiyo maana hata bongo zao zimezungukwa na mawaa mengi.Hivi Tanzania tuna Bunge au genge
Hivi,yule mbonge aliyekuwa analonga na simu nimehabarishwa kumbe alikuwa anaagiza apelekewe mlupo geto!?bunge la sasa ni kilabu
Kweli kilabubunge la sasa ni kilabu
Wacha wee!Hivi,yule mbonge aliyekuwa analonga na simu nimehabarishwa kumbe alikuwa anaagiza apelekewe mlupo geto!?
Ni wa kumpa maudhi tu ili aache ujingaujinga.Wacha wee!
Kweli kabisa.Ni wa kumpa maudhi tu ili aache ujingaujinga.
Wabunge wa ccm wana miradi chungu mzima nchi nzima pale bungeni wanaua ndege wawili kwa jiwe moja wanakula posho huku wakisimamimia miradi yao kwanjia ya simu ndio maana wanapiga kura za ndio kila kitu kwasababu wanawaza miradi yaoHongera Spika Tulia Akson kwa kukemea jambo hili, mtu anaingia Bungeni anaanza kuongea na simu ni ushamba, pumbavu kabisa, wasichaguliwe Tena.
2025,tuwanyime kura ili wasile .Wabunge wa ccm wana miradi chungu mzima nchi nzima pale bungeni wanaua ndege wawili kwa jiwe moja wanakula posho huku wakisimamimia miradi yao kwanjia ya simu ndio maana wanapiga kura za ndio kila kitu kitu kwasababu wanawaza miradi yao
ccm sidhani kama wanategemea kura ya mtu kuingia bungeni ndio maana wako busy na mambo yao wanajua njia za kupita kupata ubunge.ogopa chama rushwa sio tatizo kwenye chaguzi zao za ndani,ili jina lako lipite ni dau kubwa unategemea nini2025,tuwanyime kura ili wasile .
Hatari kubwa!ccm sidhani kama wanategemea kura ya mtu kuingia bungeni ndio maana wako busy na mambo yao wanajua njia za kupita kupata ubunge.ogopa chama rushwa sio tatizo kwenye chaguzi zao za ndani,ili jina lako lipite ni dau kubwa unategemea nini