Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Naona umeamua kunipigia na promo kabisa uzur mm nimeshaolewa hapo kwenye uzi wangu hakuna sehem nimejisifia zaid ya kuongea na wanyonge wangu ila asante hata hivyo
 
Naona umeamua kunipigia na promo kabisa uzur mm nimeshaolewa hapo kwenye uzi wangu hakuna sehem nimejisifia zaid ya kuongea na wanyonge wangu ila asante hata hivyo

YANI UMEOLEWA? UNAPOKEA SIMU ZA WANAUME, WENGI, WANAKUTONGOZA, WASUMBUFU, UNAWAAMBIA HAPANA, WANAKUSUMBUA, WANAKUKERA KWENYE SIMU???????

SERIOULSY? KWELI, YANI HAWA NDO WAKE ZETU HAWA? KWELI HAWA NDO WANAWAKE WALIOOLEWA, NDIVYO WANAVYO ARGUE? SERIOUSLY? KABISA? NAMWONEA HURUMA BROTHER!
 
m-reject
 
Naona umeamua kunipigia na promo kabisa uzur mm nimeshaolewa hapo kwenye uzi wangu hakuna sehem nimejisifia zaid ya kuongea na wanyonge wangu ila asante hata hivyo
Na wewe shem itafika siku ntakuchoka na sifa zako leo nakuekea kiporo siku nyingine nakupa makavu live.
 
Mwanamke kutongozwa kawaida yawezekana mke wako anapata sana shida kuwa na mwanaume kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…