Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Hahahahahah kumbe nilishaambia zaid ya mara nyingi lakini wapi kweli tunakela sana lakini tuzoee tu, si unajua mtafutaji achoki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunavumilia tu
 
Ila kiukweli wanawake hamjambo kufukua makaburi....... dawa ni kutokumkwaza siku akitemwa alikokuwa atakushtua tu kupunguza machungu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiombe kupigiwa simu na muha pure from kigoma,akupende umkatae hehehee!!
Kila siku atajiunga cheka zogo ya 5000 kwa ajili ya kukupigisha story ya ziwa Tanganyika na jinsi hali ya hewa ilivyo kasulu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…