Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

mpaka madem wabovu wanaringa.kweli wanaume wanahuruma.
 
Aiseeee leo kila nikichungulia huku nakukuta hakiii unanipa mkanganyiko
Hahaha leo nimepata nafasi murua kabisa yakujiachia humu,,japo kuna sehemu net inagoma,nilikua safarini frm chuga to dar
 
Hahaha leo nimepata nafasi murua kabisa yakujiachia humu,,japo kuna sehemu net inagoma,nilikua safarini frm chuga to dar
Naona unarud kwa baby wakooo loooh sawa bhn naona ameshaandaaaa kitandaa leo kwinyooo kwinyooo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…