Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

eee baba wa mbinguni wanaume tuna kazi.kumbe ndo mnavyotufanyiaga ivyo.Hapo unakuta jamaa wa watu anakazana akijua iko siku utalegea kumbe unamsanifu tu.kazi tunayo.
 
Dah ningepata demu kavu hivi ingependeza, mie mpenzi wangu mpaka sometym nakataga makofi yani. Ana ukarimu wa kijinga sana huwa hawezi jibu shit wala kumkatia mtu simu mbaya zaidi akiombwa namba anatoaga tu sijui kalogwa.
 
halafu wanaume wakiafrica ndio wabishi,huwa wanaamini ipo siku atakubaliwa
 
Dah ningepata demu kavu hivi ingependeza, mie mpenzi wangu mpaka sometym nakataga makofi yani. Ana ukarimu wa kijinga sana huwa hawezi jibu shit wala kumkatia mtu simu mbaya zaidi akiombwa namba anatoaga tu sijui kalogwa.
[emoji23] [emoji23] mfundishe ukaksi
 
Dah tusiopendwa tuna balaa sana,,,ila sikomi licha ya mateso hayo kama domo platinumz. Ni mwendo wa ring riiiing tu mida ya ala za roho!
 
Dah ningepata demu kavu hivi ingependeza, mie mpenzi wangu mpaka sometym nakataga makofi yani. Ana ukarimu wa kijinga sana huwa hawezi jibu shit wala kumkatia mtu simu mbaya zaidi akiombwa namba anatoaga tu sijui kalogwa.
Akitoa namba anawakubalia?
 
Pole mkanye asije kuitwa mama huruma
Nimeshamkanya mpaka kupiga nimechoka nadhani tabia ni ngozi, meanwhile nshapata mama ingine kali zaidi nimeiweka sawa tayari.

Naendelea na manzi wangu kwa penzi la kinafiki tu maana ndio mtindo anaotaka ila siku akija kugundua nina kitu kando anakula kadi nyekundu fashta ili aende huko anakogawa namba ovyo.
 
We una tatizo la AKILI
 
eee baba wa mbinguni wanaume tuna kazi.kumbe ndo mnavyotufanyiaga ivyo.Hapo unakuta jamaa wa watu anakazana akijua iko siku utalegea kumbe unamsanifu tu.kazi tunayo.
Sanaaaa
 
Nimejikuta namuonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…