Kuongeza ufanisi wa pc kwa bajeti, Je ninunue SSD GB 128 kwajili ya windows kisha niigeuze hdd ya 1 tb kwajili ya storage au ni lazima iwe 1TB SSD ?

Kuongeza ufanisi wa pc kwa bajeti, Je ninunue SSD GB 128 kwajili ya windows kisha niigeuze hdd ya 1 tb kwajili ya storage au ni lazima iwe 1TB SSD ?

SSD zipo brand nyingi kwasasa na ufanisi ni tofauti pia specs ni tofauti.

Kwa 120,000/= unaweza kupata SSD ya 1TB hiyo hiyo 120,000 unaweza kupata SSD ya 256GB kulingana na specs.

Nilinunua Kingston 500GB KC2500 Nvme M.2 kwa 170,000 au 180,000 hivi, japo zilikwepo za hadi 1TB kwa bei chini ya hapo, kinachotofautisha bei ni specs. vitu kama read/write speed, PCIe gen.
Soko la Nand lime crash, wame produce Nyingi kuliko Mahitaji, kampuni Zote Sk Hynx, Micron na Samsung zimepata matrilioni ya Hasara, ssd sasa hivi zinauzwa kama Karanga.

Even Highend Ssd zenye speed 3.5GBps kupanda kama Samsung 970 Evo plus, 980 unazipata around $50. Crucial p3 plus (5GBps), Western Digital black na Blue mpaka 5.1GBps zote hizi ni $50 ama chini ya hapo.

Zile brand ndogo ndogo zenye speed chini ya 3.5GBps na endurance ndogo zimeshuka hadi around $30.

Hadi Intel ambaye ssd zake ni bei ndefu bei humo humo unapata 2TB kwa $60-70.
 
Anyway labda mwalimu wangu hakunifundisha vizuri


1. SSD itakupa speed kwenye booting tu kuwaka haraka kwa sababu ya kasi ya speed ya SSD kwenye kusoma OS Files.

2. Kuna vitu kwenye PC vitategemeana yule mwalimu alitumia maneno kama


RAM ni eneo au uwanja ambapo kazi zote zinapofanyikia temporary

HDD Hii ikiwa umefanyiwa formatting vizuri kwa kutumia system files za NTFS au now days HPFS na ukafanya Pertition then haina nafasi kwenye kuifanya PC iwe slow

Processor Yenye clock speeds, Performance-cores and Efficient-cores nzuri

SO cheza na RAM tu hapo wengine wataelewana
 
Soko la Nand lime crash, wame produce Nyingi kuliko Mahitaji, kampuni Zote Sk Hynx, Micron na Samsung zimepata matrilioni ya Hasara, ssd sasa hivi zinauzwa kama Karanga.

Even Highend Ssd zenye speed 3.5GBps kupanda kama Samsung 970 Evo plus, 980 unazipata around $50. Crucial p3 plus (5GBps), Western Digital black na Blue mpaka 5.1GBps zote hizi ni $50 ama chini ya hapo.

Zile brand ndogo ndogo zenye speed chini ya 3.5GBps na endurance ndogo zimeshuka hadi around $30.

Hadi Intel ambaye ssd zake ni bei ndefu bei humo humo unapata 2TB kwa $60-70.
Mkuu, unaweza kusaidia kurecommend specifications za ssd nzuri, kama ikiwezekana pia na brand, manake sokoni zimekuwa nyingi tofauti tofauti zinachanganya kama hauna utaalam nazo.
 
Mkuu, unaweza kusaidia kurecommend specifications za ssd nzuri, kama ikiwezekana pia na brand, manake sokoni zimekuwa nyingi tofauti tofauti zinachanganya kama hauna utaalam nazo.
Siku hizi Mainly zipo aina mbili,

Sata ssd na Pcie (Nvme ssd aka m2)

Sata ssd ni kama hdd za kawaida umbo lake hizi zinaingia machine yoyote ya sata, mpaka Computer za miaka 10 ama 20 iliopita zinakubali, kutokana na Connector ya Sata (6gbps) hizi huwa speed yake inakuwa around 500MB/S
images.jpeg-45.jpg

Kama una computer ya kizamani huna ujanja ssd ni hii tu.

Kama una computer ya kisasa inayoingia m2 ssd hapa ndio inabidi uwe makini kidogo

1. Size
Kikawaida size za m2 ssd kwenye laptop ni 2280 ila kuna vifaa kama laptop nyembamba ama Tablets ama handheld kama Steam deck wanatumia vi m2 ssd vidogo vya 2230.
images.jpeg-46.jpg



2. Gen ya Pcie.
Juu tumeona sata ssd hazina speed sababu ya Connector, kwenye pcie ssd pia generation ya pcie inaamua ssd yako iwe na speed kiasi gani
-pcie gen 3 ina lane 4 kwenye m2 na kila lane ni kama 1GBps hivyo in theory utapata kama 4GBps speed ndio maana ssd zake nyingi zinakuwa 3.5GBps.
-pcie gen 4 kila lane ni GBps kwa lane 4 inakuja kama 8GBps ndio maana ssd nyingi zake ni 5-7GBps.


Ila nisikutishe sana most of time kwenye Nvme watu wananunua m2 2280 pcie gen 3 hizo za 3.5GBps.

Kama huna uhakika ukipost model nitakusaidia aina ya ssd inayotumia.
 
Habari ya uzima wana jamii forum
Naomba msaada juu ya mchanganuo wa kufungua library classic ya HD/4K ipoje na imekaajee soko lake kwasasa ...

1.maitaji kiujumla
2.faida na hasra(changamoto)
3.ushauri na maoni yanapokelewa

Plz n plz naomba msaada wenu
 
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
No need
Kuna malicious za kutosha tu. Kama unaitumia akwenye internet futa tem files zote but ukiona ngumu basi fanya backup na format mashine itarudia speed yake. Kwa ram 8gb ni kubwa inatosha sana tu, 1tb pia iko sawa huna haja uingie gjarama kununua ssd hdd
 
Back
Top Bottom