Kuongezeka kwa bei za Dhahabu na Mahindi duniani; Mawaziri Biteko na Bashe na Gavana BoT mmejipangaje?

Kuongezeka kwa bei za Dhahabu na Mahindi duniani; Mawaziri Biteko na Bashe na Gavana BoT mmejipangaje?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Amani iwe nanyi,

Habari kuu kwa sasa duniani ni kupanda kwa bidhaa adimu kutokana na vita vinavyoendelea vya Russia v Ukraine.

Bidhaa adimu kama mafuta na Gesi zinazidi kupanda kwa kiwango cha kutisha na Mataifa yenye mafuta na Gesi Afrika yameanza kukamatia fursa kuongeza mapato yake kwa mfano Algeria, Angola, Equatorial Guinea, Nigeria na Misri

Bidhaa nyingine zinazopanda bei kwa kiwango cha kutisha kwenye soko la dunia sasa ni Dhahabu na Mahindi.

Tanzania hatujaingia kwenye soko la dunia kwa bidhaa za Mafuta na Gesi ila kwenye bidhaa za Dhahabu na Mahindi tupo kwenye soko la dunia maana dhahabu na mahindi kutoka Tanzania yanauzwa kwenye soko la dunia.

Baada ya taarifa hizi za kuzidi kuongezeka kwa bei ya dhahabu na Mahindi ambazo zinaweza kutuingizia mapato makubwa kipindi hiki napenda kuwauliza Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe na Gavana wa Benki Kuu Prof Luoga wamejipangaje katika kuhakikisha Tanzania tunafaidika sana na hali hii?
 
Mnunuzi mkubwa wa dhahabu dunian Ni nani?? Samahn kwa swal
Mpaka 2020 alikuwa Urusi ila 2021 Benki kuu ya Thailand ndo iliongoza!
Kwa hali ya kiuchumi inavyoenda inaonekana Urusi atanunua zaidi dhahabu ili kujilinda zaidi
 
Mpaka 2020 alikuwa Urusi ila 2021 Benki kuu ya Thailand ndo iliongoza!
Kwa hali ya kiuchumi inavyoenda inaonekana Urusi atanunua zaidi dhahabu ili kujilinda zaidi
Hivi Tanzania tunaongoza kwa kununua nini??
 
Mpaka 2020 alikuwa Urusi ila 2021 Benki kuu ya Thailand ndo iliongoza!
Kwa hali ya kiuchumi inavyoenda inaonekana Urusi atanunua zaidi dhahabu ili kujilinda zaidi
Ooh shukran kwa ufafanuz yakinifu mkuu
 
Sisi bado tunachambua kesi ya mbowe wote wananchi na viongozi wetu tukijakukurupuka wenzetu wakenya wameshachukua fursa ya dhahabu na mahindi yake
 
Amani iwe nanyi,

Habari kuu kwa sasa duniani ni kupanda kwa bidhaa adimu kutokana na vita vinavyoendelea vya Russia v Ukraine.

Bidhaa adimu kama mafuta na Gesi zinazidi kupanda kwa kiwango cha kutisha na Mataifa yenye mafuta na Gesi Afrika yameanza kukamatia fursa kuongeza mapato yake kwa mfano Algeria, Angola, Equatorial Guinea, Nigeria na Misri

Bidhaa nyingine zinazopanda bei kwa kiwango cha kutisha kwenye soko la dunia sasa ni Dhahabu na Mahindi.

Tanzania hatujaingia kwenye soko la dunia kwa bidhaa za Mafuta na Gesi ila kwenye bidhaa za Dhahabu na Mahindi tupo kwenye soko la dunia maana dhahabu na mahindi kutoka Tanzania yanauzwa kwenye soko la dunia.

Baada ya taarifa hizi za kuzidi kuongezeka kwa bei ya dhahabu na Mahindi ambazo zinaweza kutuingizia mapato makubwa kipindi hiki napenda kuwauliza Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe na Gavana wa Benki Kuu Prof Luoga wamejipangaje katika kuhakikisha Tanzania tunafaidika sana na hali hii?
Katika NYAKATI kama hizi SMARTNESS MATTERS.

Nakumbuka kipindi kile cha Covid 19 Tanzania tulikuwa na nafasi ya juu sana ya kupaa KIUCHUMI kwa kupitia Deal ya Mafuta..

Wakati ule Mafuta yalishuka bei kufikia zero Dollar...

Kwa akili SMART ilikuwa haraka sana tungefunga biashara na Nchi kama Dubai au Russia ambazo thamani ya Pesa zao iko kwenye Stones....Gold in particular.

Kivipi....

Kwa kuyapa Mafuta bei...from 0 to a given Value...say 200...
Halafu tunadevaluate Dhahabu kidogo then tuna swap....

Ungekuta leo tuna mkataba wa mafuta ya miaka say 5...

Hata kama wangechukua Dhahabu kiasi gani-Lakini TAYARI Serikali ingeweza kukusanya up to 50TN kwa Mwaka.....

We missed that opportunity....


Now the Chance came again...

Russia values her Money in Stones....

Also China now...

And since their Mission is to Crush the Dollar...WE SHOULD SWAP WHAT WE HAVE EVEN THOUGH IT IS NOT MINED... WE CAN GET A LOT OF FOREX....THROUGH THAT....

SMART MINDS...

NEGOTIATION SKILLS....

COMMODITE EXCHANGE....

SWAPPING OF RAW MATERIALS.....


ETC

ETC
 
Amani iwe nanyi,

Habari kuu kwa sasa duniani ni kupanda kwa bidhaa adimu kutokana na vita vinavyoendelea vya Russia v Ukraine.

Bidhaa adimu kama mafuta na Gesi zinazidi kupanda kwa kiwango cha kutisha na Mataifa yenye mafuta na Gesi Afrika yameanza kukamatia fursa kuongeza mapato yake kwa mfano Algeria, Angola, Equatorial Guinea, Nigeria na Misri

Bidhaa nyingine zinazopanda bei kwa kiwango cha kutisha kwenye soko la dunia sasa ni Dhahabu na Mahindi.

Tanzania hatujaingia kwenye soko la dunia kwa bidhaa za Mafuta na Gesi ila kwenye bidhaa za Dhahabu na Mahindi tupo kwenye soko la dunia maana dhahabu na mahindi kutoka Tanzania yanauzwa kwenye soko la dunia.

Baada ya taarifa hizi za kuzidi kuongezeka kwa bei ya dhahabu na Mahindi ambazo zinaweza kutuingizia mapato makubwa kipindi hiki napenda kuwauliza Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe na Gavana wa Benki Kuu Prof Luoga wamejipangaje katika kuhakikisha Tanzania tunafaidika sana na hali hii?
Unawapa kazi tu ambayo hawaiwezi!!yaani mambo ya kitaifa tu hawawezi itakuwa hayo ya kimataifa?!!
Waziri hawezi kuweka mpango kazi hadi asukumwe na waziri mkuu/rais!!!
Tena kama huyo wa kilimo , , , , mipango mingi nenda kwenye utekelezaji wake hakuna kitu
 
Katika NYAKATI kama hizi SMARTNESS MATTERS.

Nakumbuka kipindi kile cha Covid 19 Tanzania tulikuwa na nafasi ya juu sana ya kupaa KIUCHUMI kwa kupitia Deal ya Mafuta..

Wakati ule Mafuta yalishuka bei kufikia zero Dollar...

Kwa akili SMART ilikuwa haraka sana tungefunga biashara na Nchi kama Dubai au Russia ambazo thamani ya Pesa zao iko kwenye Stones....Gold in particular.

Kivipi....

Kwa kuyapa Mafuta bei...from 0 to a given Value...say 200...
Halafu tunadevaluate Dhahabu kidogo then tuna swap....

Ungekuta leo tuna mkataba wa mafuta ya miaka say 5...

Hata kama wangechukua Dhahabu kiasi gani-Lakini TAYARI Serikali ingeweza kukusanya up to 50TN kwa Mwaka.....

We missed that opportunity....


Now the Chance came again...

Russia values her Money in Stones....

Also China now...

And since their Mission is to Crush the Dollar...WE SHOULD SWAP WHAT WE HAVE EVEN THOUGH IT IS NOT MINED... WE CAN GET A LOT OF FOREX....THROUGH THAT....

SMART MINDS...

NEGOTIATION SKILLS....

COMMODITE EXCHANGE....

SWAPPING OF RAW MATERIALS.....


ETC

ETC
Uchambuzi mzuri mkuu. Tatizo Serikali ya CCM ni self centered. Haipo kabisa kumtetea na kumpigania Mtanzania. Kila mradi wanaoufanya Bwawa la Nyerere, mwendokasi, ujenzi wa madarasa n.k ni mahsus kwa upigaji. Fursa kama hizi zimejitokeza utakuta wanatafuta jinsi ya kwenda kukopa ili wapate fedha za kuuza hizo mahindi na dhahab
 
Unawapa kazi tu ambayo hawaiwezi!!yaani mambo ya kitaifa tu hawawezi itakuwa hayo ya kimataifa?!!
Waziri hawezi kuweka mpango kazi hadi asukumwe na waziri mkuu/rais!!!
Tena kama huyo wa kilimo , , , , mipango mingi nenda kwenye utekelezaji wake hakuna kitu
Kuna muda unaweza sema Uwaziri uendane na profession ya mtu
 
Katika NYAKATI kama hizi SMARTNESS MATTERS.

Nakumbuka kipindi kile cha Covid 19 Tanzania tulikuwa na nafasi ya juu sana ya kupaa KIUCHUMI kwa kupitia Deal ya Mafuta..

Wakati ule Mafuta yalishuka bei kufikia zero Dollar...

Kwa akili SMART ilikuwa haraka sana tungefunga biashara na Nchi kama Dubai au Russia ambazo thamani ya Pesa zao iko kwenye Stones....Gold in particular.

Kivipi....

Kwa kuyapa Mafuta bei...from 0 to a given Value...say 200...
Halafu tunadevaluate Dhahabu kidogo then tuna swap....

Ungekuta leo tuna mkataba wa mafuta ya miaka say 5...

Hata kama wangechukua Dhahabu kiasi gani-Lakini TAYARI Serikali ingeweza kukusanya up to 50TN kwa Mwaka.....

We missed that opportunity....


Now the Chance came again...

Russia values her Money in Stones....

Also China now...

And since their Mission is to Crush the Dollar...WE SHOULD SWAP WHAT WE HAVE EVEN THOUGH IT IS NOT MINED... WE CAN GET A LOT OF FOREX....THROUGH THAT....

SMART MINDS...

NEGOTIATION SKILLS....

COMMODITE EXCHANGE....

SWAPPING OF RAW MATERIALS.....


ETC

ETC
Umetema madini ya maana sana
 
Back
Top Bottom