igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Wachambuzi uchwara na mashabiki wa vita kama akina Yericko NyerereHivi Tanzania tunaongoza kwa kununua nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachambuzi uchwara na mashabiki wa vita kama akina Yericko NyerereHivi Tanzania tunaongoza kwa kununua nini??
Vidonge vya majira arv na co*mHivi Tanzania tunaongoza kwa kununua nini??
Katika NYAKATI kama hizi SMARTNESS MATTERS.
Nakumbuka kipindi kile cha Covid 19 Tanzania tulikuwa na nafasi ya juu sana ya kupaa KIUCHUMI kwa kupitia Deal ya Mafuta..
Wakati ule Mafuta yalishuka bei kufikia zero Dollar...
Kwa akili SMART ilikuwa haraka sana tungefunga biashara na Nchi kama Dubai au Russia ambazo thamani ya Pesa zao iko kwenye Stones....Gold in particular.
Kivipi....
Kwa kuyapa Mafuta bei...from 0 to a given Value...say 200...
Halafu tunadevaluate Dhahabu kidogo then tuna swap....
Ungekuta leo tuna mkataba wa mafuta ya miaka say 5...
Hata kama wangechukua Dhahabu kiasi gani-Lakini TAYARI Serikali ingeweza kukusanya up to 50TN kwa Mwaka.....
We missed that opportunity....
Now the Chance came again...
Russia values her Money in Stones....
Also China now...
And since their Mission is to Crush the Dollar...WE SHOULD SWAP WHAT WE HAVE EVEN THOUGH IT IS NOT MINED... WE CAN GET A LOT OF FOREX....THROUGH THAT....
SMART MINDS...
NEGOTIATION SKILLS....
COMMODITE EXCHANGE....
SWAPPING OF RAW MATERIALS.....
ETC
ETC
Anajiita Jasusi😀😀😀Wachambuzi uchwara na mashabiki wa vita kama akina Yericko Nyerere
Tunaongoza kwenye uozo mkubwa ambao umerudi kwa mlango wa nyuma. Zile kampuni za mafuta za Msoga Corporation nazo zitavuna faida kubwa. Awamu ya nne imerudi kazini, tutakoma. Upinzani umelaininshwa na Kiswahili cha Zanzibar nao sasa wamebaki kama mazuzu ya CCM. Unaona sasa walewale wamerudi ili kurudisha mikakati ya kuikamuwa nchi mpaka ikome. Mikopo sasa njenje, lakini kulipa ni Tanganyika!Hivi Tanzania tunaongoza kwa kununua nini??
Tunaongoza kwenye uozo mkubwa ambao umerudi kwa mlango wa nyuma. Zile kampuni za mafuta za Msoga Corporation nazo zitavuna faida kubwa. Awamu ya nne imerudi kazini, tutakoma. Upinzani umelaininshwa na Kiswahili cha Zanzibar nao sasa wamebaki kama mazuzu ya CCM. Unaona sasa walewale wamerudi ili kurudisha mikakati ya kuikamuwa nchi mpaka ikome. Mikopo sasa njenje, lakini kulipa ni Tanganyika!