aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
wapi huko?KUNA WATU WAMEKULA HELA ZA MRADI WA MVUA
Usiku ndio hakulaliki, unaoga ukijifuta kidogo joto tena unarudi kuoga
mchana ndio usiseme kama huna AC AU FENI ndio balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi huko?KUNA WATU WAMEKULA HELA ZA MRADI WA MVUA
Usiku ndio hakulaliki, unaoga ukijifuta kidogo joto tena unarudi kuoga
mchana ndio usiseme kama huna AC AU FENI ndio balaa
SIO POANyie watu wanakata miti maporini kutengeneza mikaa mnategemea mpate hali nzuri ya hewa!
Serikali imekaa kimya na wananchi wengi walivyo wajinga wanaona ni kitu cha kawaida.
DSM NA PWANI JOTO KALIwapi huko?
Kwahiyo hata Makolo ile mvua yao kishirikina imegoma?KUNA WATU WAMEKULA HELA ZA MRADI WA MVUA
Usiku ndio hakulaliki, unaoga ukijifuta kidogo joto tena unarudi kuoga
mchana ndio usiseme kama huna AC AU FENI ndio balaa
Hili ni joto la uchaguzi 😃KUNA WATU WAMEKULA HELA ZA MRADI WA MVUA
Usiku ndio hakulaliki, unaoga ukijifuta kidogo joto tena unarudi kuoga
mchana ndio usiseme kama huna AC AU FENI ndio balaa
Kesho inaweza wakaangusha mvua!Kwahiyo hata Makolo ile mvua yao kishirikina imegoma?
Au walipopigwa 5 na mvua ilinyesha wamebadili gia?
Mkuu ajajua maana ya nyuzi joto 29Yani unasema 29* wakati sisi huku tuliozoea baridi na mvua tunapigika hadi 35*
Majini yako likizo yamerudi ujinini, hivyo mganga wa Yanga na simba wako wao km waoKesho inaweza wakasgusha mvua!
Hamasisheni wadada wavae chupi joto Lita punguaWakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha