Nihaomedia7
Member
- Jul 19, 2021
- 32
- 77
Miaka ya hivi karibuni kuanzia 2015 Hadi sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la kampuni za michezo ya kubeti kuja kuwekeza Tanzania.
Je nikutokana na kuimarika kwa huduma za internet, au upatikanaji mzuri wa njia za malipo ya simu? Je kutokana na uwekezaji wanaokuja nao mathalani kila kampuni inakuja na 1 Trilion
Je Kuna athari chanya kwenye uchumi wetu au tunakuza mitaji yao pekee?. Karibu katika mjadala
Angalia Orodha ya makampuni ya kubeti hapa>>https://www.masshele.com/2021/04/kampuni-bora-za-kubet-upande-wa.html?m=1
Je nikutokana na kuimarika kwa huduma za internet, au upatikanaji mzuri wa njia za malipo ya simu? Je kutokana na uwekezaji wanaokuja nao mathalani kila kampuni inakuja na 1 Trilion
Je Kuna athari chanya kwenye uchumi wetu au tunakuza mitaji yao pekee?. Karibu katika mjadala
Angalia Orodha ya makampuni ya kubeti hapa>>https://www.masshele.com/2021/04/kampuni-bora-za-kubet-upande-wa.html?m=1