Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Bila kusahau kuongezeka kwa makanisa na manabii.Ungeanza na kuongezeka kwa Pub na bar ungekua sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau kuongezeka kwa makanisa na manabii.Ungeanza na kuongezeka kwa Pub na bar ungekua sawa
"Ni mtazamo tu,masela msijenge chuki".Ina maanisha ni dini safi yaani imekubalika
Huu ndio ukweli wa mambo mtaaniAcha vijana wabet tu maana ramani nyingine bila connection ni mtihani.
Mkuu nimekutafuta kule...Mkuu changamoto hatuna viongozi tu Ila nchi tajiri hii sio wananchi wake waishi kwa kutegemea Kamari niamini.
Hizi gharama zote analipa anayecheza hiyo kamali, mwenye kampuni hutoa 25% tu ya mapato yake kwa mshindi 75% ni gharama zake za kiuendeshaji. Kwahiyo hizo kodi unazopendekeza unamkomoa mcheza kamali.Ni dalili mbaya sana kwa mtizamo wa kiuchumi
Uchumi wa kamari unahamasisha nguvu kazi kubwa ambayo ingetumika kwa uzalishaji kujikita kwenye micheo ya kubahatisha kwa gharama kubwa ambapo chances za ushindi ni ndogo sana. Ni jambo ambalo serikali inatakiwa ku-discorage kwa njia mbili
1. Leseni ya kuendesha kamari iwe ghali sana
2. Kodi iwe zaidi ya asilimia 40 kwenye mapato ghafi
3. License validity iwe na maximum of 6 months, anayetaka akate tena nyingine
4. Pasiwe na promotions kwenye mass media kama redio, magazeti, television. Waendeshaji wajitangaze wenyewe kwenye mitandao ya kijamii
Na waumini tupo wengiIna maanisha ni dini safi yaani imekubalika
Je wote mmesadiki au wengine mpo tu kama mamluki 😀😀😀Na waumini tupo wengi
Ni dalili mbaya sana kwa mtizamo wa kiuchumi
Uchumi wa kamari unahamasisha nguvu kazi kubwa ambayo ingetumika kwa uzalishaji kujikita kwenye micheo ya kubahatisha kwa gharama kubwa ambapo chances za ushindi ni ndogo sana. Ni jambo ambalo serikali inatakiwa ku-discorage kwa njia mbili
1. Leseni ya kuendesha kamari iwe ghali sana
2. Kodi iwe zaidi ya asilimia 40 kwenye mapato ghafi
3. License validity iwe na maximum of 6 months, anayetaka akate tena nyingine
4. Pasiwe na promotions kwenye mass media kama redio, magazeti, television. Waendeshaji wajitangaze wenyewe kwenye mitandao ya kijamii
Nambie mkuuMiaka ya hivi karibuni kuanzia 2015 Hadi sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la kampuni za michezo ya kubeti kuja kuwekeza Tanzania.
Je nikutokana na kuimarika kwa huduma za internet, au upatikanaji mzuri wa njia za malipo ya simu? Je kutokana na uwekezaji wanaokuja nao mathalani kila kampuni inakuja na 1 Trilion
Je Kuna athari chanya kwenye uchumi wetu au tunakuza mitaji yao pekee?. Karibu katika mjadala
Angalia Orodha ya makampuni ya kubeti hapa>>https://www.masshele.com/2021/04/kampuni-bora-za-kubet-upande-wa.html?m=1
Si wanalipa Kodi mkuuSSerikali imeacha mpaka redio zinafanya hiyo biashara ni masjabu sana aiseeh
Mradi kipato iingieSerikali we ukiilipa kodi hata kama una wachapa fimbo raia wake wao wanaona sawa tu.