Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

mkamanga original

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
637
Reaction score
663
Kuna ongezeko kubwa la mabinti kuzalia home kwa wazazi kabla ya kuolewa.
Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na
1. wanawake wengi kukata tamaa, 2.umri mkubwa,
3.lakini pia nimekutana na majibu ya wanawake waliamua kushika mimba baada ya kuhakikishiwa kuolewa,Lakini Mara baada ya kuzaa mwanaume amechange gia na kupiga U-turn
4. Wachache sana walionyesha ndoa sio muhimu kwao,Lakini asilimia kubwa ya kundi hilo walikuwa wameshaumizwa

Wanaume walipoulizwa katika madodoso yao sababu hasa za kuwapa ujauzito wanawake na kuwaacha wengi walijaza majibu haya
1. Majibu ya ovyo ya wanawake yaliwakimbiza wengi - 40% waijibu katika madodoso jibu hill
2. Dharau na kiburi kwa wanawake wengi walisababisha wanaume wengi kusitisha mahusiano ili hali tayari hayo mahusiano yalishaleta madhara kama mimba au mtoto.
3. Wanawake kuwa na mahusiano na wanaume/ wanaume wengine ilidabababisha pia mahusiano kusitishwa na wanaume -45% swali hili lilijibiwa
4. Wivu na tamaa , wanawake kuingia tamaa ya kutaka vitu vikubwa kama vile mavazi, n.k wanaume waliamua wajitoe kwenye mahusiano mapema
5. Wanaume wengi kutokuwa waaminifu katika mahusiano hasa kutokana na kuwepo kwa wanawake wengi wazuri ,imwsababisha wanaume wengi kukimbilia huko
 
Daa my wangu mwezi June(06) anaenda kujifungua kwao uchagani huko....

Lakin sijamuoa wala nin!!!...

Kila siku napokea simu ya wakwe!!!wanasisitiza ndoa"""""

Na kiukweli nikiliwaza ghubu la mtoto wao nasema ningoje kwanza...daah:

N.B
Kuna kimchepuko kinanipa raha hatar!!!! .... Mpka namsahau mama kijacho wangu""".....Mungu tunusuru sis wanaume.... Ndo maana tunakufa mapema:
 
Daa my wangu mwezi June(06) anaenda kujifungua kwao uchagani huko....

Lakin sijamuoa wala nin!!!...

Kila siku napokea simu ya wakwe!!!wanasisitiza ndoa"""""

Na kiukweli nikiliwaza ghubu la mtoto wao nasema ningoje kwanza...daah:

N.B
Kuna kimchepuko kinanipa raha hatar!!!! .... Mpka namsahau mama kijacho wangu""".....Mungu tunusuru sis wanaume.... Ndo maana tunakufa mapema:
Ndio nyie mnaosema sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto,Sasa kama huyu wako unategemea aolewe na nani wakati ww ndio mwenye mtoto,.??vijana mnatakiwa kujitafakari sana haya mambo yanajirudi am telling you bora kuwa mkweli tuu na sio kujitafutia laana huko mbeleni zisizo na kichwa wala miguu
 
Utaiti wako haujakamilika kwa sababu haukija na suluhusho.
yote tunawza kuongea lakini hakuna mwanamke anaepata ujauzito bila ya mwanamme, so chanzo cha tatizo ni mwanaume pia!
 
Ndio nyie mnaosema sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto,Sasa kama huyu wako unategemea aolewe na nani wakati ww ndio mwenye mtoto,.??vijana mnatakiwa kujitafakari sana haya mambo yanajirudi am telling you bora kuwa mkweli tuu na sio kujitafutia laana huko mbeleni zisizo na kichwa wala miguu
Duuuh....[emoji848]
 
Wanaume waoaji wote wameshaoa,.wamebaki wakwepa majukumu,mtu anaona wakati mwingine bora azae tuu apate ndugu zake asikose vyote ndoa na watoto..
Hii siyo kweli sababu tunataka tuoe wake wawili,watatu au wanne,mabinti hawataji matala. Sasa waone kipi bora kuzalia nyumbani bila ndoa au waolewe matala.
 
Hii siyo kweli sababu tunataka tuoe wake wawili,watatu au wanne,mabinti hawataji matala. Sasa waone kipi bora kuzalia nyumbani bila ndoa au waolewe matala.
Ni upuuzi huu,. wewe binti yako akaolewe mitala utafurahi..??tuwe realistic jamanii usijione ww kwakuwa ni mwanaume ndio useme hivyo,. magonjwa na usaliti haviwezi kuisha kwa mfumo huo,
 
Waoaji wamepungua na waolewaji wamepungua pia
 
Back
Top Bottom