mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Kuna ongezeko kubwa la mabinti kuzalia home kwa wazazi kabla ya kuolewa.
Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na
1. wanawake wengi kukata tamaa, 2.umri mkubwa,
3.lakini pia nimekutana na majibu ya wanawake waliamua kushika mimba baada ya kuhakikishiwa kuolewa,Lakini Mara baada ya kuzaa mwanaume amechange gia na kupiga U-turn
4. Wachache sana walionyesha ndoa sio muhimu kwao,Lakini asilimia kubwa ya kundi hilo walikuwa wameshaumizwa
Wanaume walipoulizwa katika madodoso yao sababu hasa za kuwapa ujauzito wanawake na kuwaacha wengi walijaza majibu haya
1. Majibu ya ovyo ya wanawake yaliwakimbiza wengi - 40% waijibu katika madodoso jibu hill
2. Dharau na kiburi kwa wanawake wengi walisababisha wanaume wengi kusitisha mahusiano ili hali tayari hayo mahusiano yalishaleta madhara kama mimba au mtoto.
3. Wanawake kuwa na mahusiano na wanaume/ wanaume wengine ilidabababisha pia mahusiano kusitishwa na wanaume -45% swali hili lilijibiwa
4. Wivu na tamaa , wanawake kuingia tamaa ya kutaka vitu vikubwa kama vile mavazi, n.k wanaume waliamua wajitoe kwenye mahusiano mapema
5. Wanaume wengi kutokuwa waaminifu katika mahusiano hasa kutokana na kuwepo kwa wanawake wengi wazuri ,imwsababisha wanaume wengi kukimbilia huko
Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na
1. wanawake wengi kukata tamaa, 2.umri mkubwa,
3.lakini pia nimekutana na majibu ya wanawake waliamua kushika mimba baada ya kuhakikishiwa kuolewa,Lakini Mara baada ya kuzaa mwanaume amechange gia na kupiga U-turn
4. Wachache sana walionyesha ndoa sio muhimu kwao,Lakini asilimia kubwa ya kundi hilo walikuwa wameshaumizwa
Wanaume walipoulizwa katika madodoso yao sababu hasa za kuwapa ujauzito wanawake na kuwaacha wengi walijaza majibu haya
1. Majibu ya ovyo ya wanawake yaliwakimbiza wengi - 40% waijibu katika madodoso jibu hill
2. Dharau na kiburi kwa wanawake wengi walisababisha wanaume wengi kusitisha mahusiano ili hali tayari hayo mahusiano yalishaleta madhara kama mimba au mtoto.
3. Wanawake kuwa na mahusiano na wanaume/ wanaume wengine ilidabababisha pia mahusiano kusitishwa na wanaume -45% swali hili lilijibiwa
4. Wivu na tamaa , wanawake kuingia tamaa ya kutaka vitu vikubwa kama vile mavazi, n.k wanaume waliamua wajitoe kwenye mahusiano mapema
5. Wanaume wengi kutokuwa waaminifu katika mahusiano hasa kutokana na kuwepo kwa wanawake wengi wazuri ,imwsababisha wanaume wengi kukimbilia huko