Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

Ni upuuzi huu,. wewe binti yako akaolewe mitala utafurahi..??tuwe realistic jamanii usijione ww kwakuwa ni mwanaume ndio useme hivyo,. magonjwa na usaliti haviwezi kuisha kwa mfumo huo,
Bibie unatakiwa uwe unaitumia vizuri sana akili yako kufikiria mambo kama haya,na kuita upuuzi jambo ambalo si upuuzi,huo upuuzi unakuwa nao wewe. Mpaka unakufa huwezi kukosoa aina hii ya ndoa zaidi ya hisia na si hoja za kielimu.

Kwanini nisikubali ? Tena jambo jepesi sana,sababu hiyo ni ndoa tena halali,kuwa mke wa pili au wa tatu hiyo ni idadi tu.

Kwahiyo ndoa ya mke mmoja inapunguza usaliti na maradhi ? Bibie unatumia kufikiria kwa kutumia nini ?

Dawa ya uzinzi ni watu kuacha uzinzi na kuwa waaminifu kinyume na hapo ni sifuri kisirani tu.
 
Ni upuuzi huu,. wewe binti yako akaolewe mitala utafurahi..??tuwe realistic jamanii usijione ww kwakuwa ni mwanaume ndio useme hivyo,. magonjwa na usaliti haviwezi kuisha kwa mfumo huo,
Wewe utakuwa unaangukia Na. 1,majibu waliyoyatoa wanaume katika utafiti. Huwezi mjibu mwanaume "mpuuzi" halafu aendelee na mahusiano
 
Siwezi kubishana na dini yako ilivyokujenga.. lakini hayo maisha yako unayoishi na amani ya moyo wako ndio uhalisia wenyewe...
 
Mimi wangu nampenda sanaa...Ana mimba changa saivi nafikir atazalia kwao japo nimemwambi ntamuoa kabla hajazaa ili kumfichia aibu....na ata nikimzalisha watto 5 akiwa kwao still bado ntamuoaa maana yy ndo chaguo la moyo wangu
Suala sio kumpenda kwa dhati, rudia utafiti hapo juu unajieleza
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dah!

Unataka kupima DNA? Ama uhakika unao wa ujauzito huo kuwa wako mdau?
 
Ni upuuzi huu,. wewe binti yako akaolewe mitala utafurahi..??tuwe realistic jamanii usijione ww kwakuwa ni mwanaume ndio useme hivyo,. magonjwa na usaliti haviwezi kuisha kwa mfumo huo,

Kwani akiolewa hiyo mitala anapungukiwa nini, acheni ubinafsi.... funzeni binti zenu kuelewa uhalisia.
 
Mimi wangu nampenda sanaa...Ana mimba changa saivi nafikir atazalia kwao japo nimemwambi ntamuoa kabla hajazaa ili kumfichia aibu....na ata nikimzalisha watto 5 akiwa kwao still bado ntamuoaa maana yy ndo chaguo la moyo wangu

Acha kamba
Oa huyo mtoto
 
naona siku hizi maigizo mengi kwenye jamii!

ila sisi wanaume tumekuwa waongo sana! kesi nyingi ukizisikiliza utakuta jamaa ali promise atamuoa bibie.

alafu mimba hiyo jamaa anairuka! hua inauma sana maana mwenzake alishafunga mawazo ya kuhangaika mtaani ila ili atimize lake, anaona adanganye alafu aachie familia ya watu jukumu!

update:

kuna wengine wanaona muda unaenda na kwa kuwa alijiwekea target zake na wakati anahitaji mtoto mambo bado, wanaona heri azae na mtu anayeeleweka ili maisha yasonge mbele!
 
Wanawake wengi wa sasa hawana heshima wana viburi na dharau
Wengi hawataki kuanza maisha ya chini na mwanamme wanataka maisha ya kuigiza simu kali na pamba kali ndo mana wengi huishia kutembea na wanaume za watu

Single mother hawa ni laana ndo inayowatafuna kwa tamaa zao kupenda mambo makubwa maisha ya mtelemko

Mwanamke unatongoza hapo hapo anaanza kukuomba hela wazo la kuoa litakuja vipi ndo mana wengi wanaishia kuchezewa
 
Ninachoamini inatakiwa kujitambua kwa pande zote... kwanza kwa wanaume kwao wangetamani hata kila siku abadilishe mwanamke ila wale wachache walioamua kuzidhiti nafsi zao hivyo suala la kuahidi ndoa ili apate mradi wake ni jambo dogo sana..

kwa wadada wengi tukipenda tunafungua madirisha mpaka tunatoa na nyavu za mbu, unatarajia nini kama siyo mimba????? Kisa tunapendana sana!!!!!! Kuna wanaume hasa wa mkoa flani hupenda kuwazalisha mabinti halafu wanaendelea kusaka noti mpaka kwenye thirties au forties ndiyo ataoa anayemtaka kwa aliyemzalisha anaenda tu kuchukua mtoto!!!! Mimi naona suluhu ni either tupige marufuku nje ya ndoa kabisa au mahusiano yote hata kama ya siku moja yatambuliwe kisheria na kila mmoja awe huru kudai fidia.........
 
Wanaume waoaji wote wameshaoa,.wamebaki wakwepa majukumu,mtu anaona wakati mwingine bora azae tuu apate ndugu zake asikose vyote ndoa na watoto..
Atukwepi majukumu Ila ni tabia zenu.

Mpaka sasa Nina mtoto mmoja na natoa mahitaji yote.

Shule nimemtafutia Mimi (private school).

School bus inamfata tu nyumbani kwa mama yake.

Likizo lazima aje kwa baba, akija ni full raha mpaka siku ya kuondoka utamsikia "Shule zifungwe nakuja Tena baba"

Kwanini mama yake sijaoa.

1. Mtoto ana miaka 5.5 Nilimfumania simu ya mama ake na sms za mchungaji mmoja wanasifiana kutomban*.
Na huyo mchungaji ana ukimwi.
Sikuuliza, nilimuomba tu ASEPE KWANGU.

Alivyokua mbishi kuondoka na kulialia nisamehe kibao, nikaona ananiletea jau nikamwachia vyumba na kusepa Mimi.


TULIENI TUTAWAOA.

#YNWA
 
Wanaume hatujawahi kuwa waongo Wala kubadili msimamo wetu.
Sisi ni wazee wa mke zaidi ya mmoja.
Na hatujaacha Hilo.
Tunaendelea kuwazalisha na kuwalea.
Hata kwa kificho.

Ila wao kwa sababu wanataka maigizo ya kila mtu na mume wake acha waendelee kuonekana hawajaolewa lakini wanaongeza watoto.
Haiwezekani kila mwanamke kuwa na mume wake wakati kila mmoja wao anataka kuwa na watoto.!!
Walioolewa kwenye mitala wanaitwa wake za watu.
Unfortunately ambao wako nyumbani na watoto wasiofahamika baba zao ndio wanashangaa wenzao kuwa kwenye mitala.
Sijui nani wa kumshangaa mwenzie.
 
Laana??Kivp?Hii kauli imekuwa common sana kwa wanawake wanaozalishwa nyumbn.Yaan wanafanya upuuzi wakiachwa wanaanza kuimba neno LAANA na blaa blaa nyingi.Hivi huyu Mungu ni mali yenu peke yenu?Nyie hamuwez kupata laana kwa matendo ya ovyo yanayomkimbiza mtu??Leta takwimu ya waliopata laana na ulete ushahidi kwamba shida walizopata zimetokana na kumuacha mwanamke mshenzi🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…